Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAMBO YA FILAMU ZA WENZETU MCHEZO...

-
Rehema Mwinyi.



Pichani 50 cents anavyoonekana sasa baada ya kupungua uzito.



Mwanamuziki wa Marekeni 50 cents imemlazimu kupunguza uzito mpaka watu kushindwa kumtambua jamani.Mwanamuziki huyo anaetarajiwa kucheza katika filamu itakayoitwa Things Fall Apart,filamu ambayo kaitunga yeye mwenyewe inayohusu kijana ambae anasoma chuo kikuu mwenye ndoto za kuwa mcheza mpira wa kimataifa lakini ndoto zake zinafutika baada ya kupata ugonjwa wa Kansa.Sasa 50 cent ndio atakuwa muhusika mkuu katika filamu hiyo na kutakiwa kupunguza uzito ili anonekane kama mgonjwa kweli wa kansa.



Hivi ndivyo tunavyomjua na mwili wake huu hapo pichani.


50 cents katika kupungua kwake amekuwa akitembea masaa matatu kwenye treadmill kwa wiki tisa na kuishi kwa diet ya vimiminika (liquid diet).Sijui ndio diet ya aina gani hiyo.

Leave a Reply