
Kisiwa cha Mafia Sisi kama wenyeji wa kisiwa hichi na wenye nia uchungu na kisiwa hiki tumesikitishwa na hatua ya baadhi ya wenye mahoteli ya kitalii kwenye kisiwa hichi pamoja na uongozi mzima wa wilaya (DC) na halmashauri kutoa kibali kwa kundi la burudani toka Ugiriki kuja kufanya vitendo vya ushoga kwa kutumia mgongo wa Tamasha la muziki. Pia tumesikitishwa uongozi hapa Mafia kukubali kutoa

sehemu ya ndege iliyopata ajali baada ya kutua barabarani kwa dharura na kugonga basi la watalii ambalo linaonekana juu kushoto likiwa limeanguka Askari wawili ambao ni marubani wa Jeshi la Wananchi Tanzania wa Kambi ya Ngerengere ya Morogoro, wamekufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kutua barabarani kwa dharura na kugonga gari la watalii na kupinduka jana katika eneo lijulikanalo kama Zimbabwe

Malaysia swoons over reality search for hottest Imam. The prize: A university scholarship, a job leading prayers at a Kuala Lumpur mosque and a trip to Mecca They’re young, tall-ish, dark and handsome and they’ve captured the hearts of Malyasian TV viewers mesmerized by the quest to be declared a nation’s hottest up-and-coming imam. Contestants on the new reality show Young Imam

Joseph Mbilinyi a.k.a Mr II TAARIFA KWA VYOMBO HABARI .NATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE MBEYA MJINI KUPITIA CHADEMA · NATOA TAMKO RASMI KUHUSU KUHOJIWA KWANGU NA POLISI Mimi, Joseph Mbilinyi ambaye najulikana zaidi katika anga ya muziki kama “Sugu” ama “Mr II” leo tarehe 29 Juni 2010 natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia

The police in Mumbai are likely to question the boyfriend of former supermodel Viveka Babajee who was found dead at her Bandra home on Friday.They have already confirmed that it as a case of suicide and are now investigating the reasons behind the extreme step. The former Miss Mauritius is said to have fought over the phone with a close friend on June 24 evening.Police have recovered her laptop,

A tribute to those who lost their lives at the crest of fame... Even as we are still coming to terms with the shocking suicide of model Viveka Babaji. Here's a look at some young talents whose lives were cut short too soon, by accident or self destruction. Most of these young celebrities died, even before they could ride the crest of fame befitting their tale
Baada ya makubaliano kati ya Rais wa Zanzibra na Seif sharif hamadi juu ya mstakbali wa ZANZIBAR. Wasanii wakizazi kipya kwa moyo mmoja wameamua kushirikiana na kutengeneza wimbo huu kwa ajili ya kuhamasisha kuwa ZANZIBAR NI MOJA

na hivi ndivyo itakavyokua baada ya kukamilika kwa ujen

(Pichani Mzee Nelson Mandela na Mtukuu wake Zanani mwaka 2008) Habari za kusikitisha kutoka Afrika Kusini. Mtukuu wa Nelson na Winnie Mandela, Zenani mwenye miaka 13 amefariki katika jali ya gari. Habari kutoka huko zinasema kuwa walikuwa wanarudi kutoka kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya World Cup. Dereva wa gari alikuwa amelewa! Pole sana familia ya Mandela. Mungu ailaze roho ya

Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake. Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za Southern California zinasema kwamba mwili wa huyo dada ulipatikana jana nyuma ya nyumba aliyokuwa akiishi. Ulikuwa umefungwa kwenye mifuko ya plastic na blanket kama takataka. Mume wa marehemu anashikiliwa
Kombo akiwa kwenye gari na babake (kulia) pamoja na Askari kanzu wakielekea Polisi Chang'ombe kupewa dhamana.picha kutoka kwa Issa michu
KIJANA Mtanzania aliyeingia uwanjani na kwenda moja kwa moja kumkumbatia kiungo nyota wa Brazil, Ricardo Kaka amekuwa gumzo na ‘shujaa’ kwa mashabiki wa soka nchini. Kijana huyo ambaye jina lake halikufahamika mara moja aliingia uwanjani wakati mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Taifa Stars na Brazil inaendelea na kwenda kumkumbatia Kaka. Mashabiki walionyesha kuvutiwa naye na kuanza

Petrol and diesel prices are almost certain to increase after an empowered group of ministers (EGoM) meets to decide on fuel pricing on Monday, Oil Ministry sources tell CNN-IBN.The EgoM, which is headed by Finance Minister Pranab Mukherjee and includes the Oil Minister, will meet on Monday afternoon to consider a Kirit Parikh Committee report that calls for freeing of petrol and diesel prices from
.jpg)
HABARI ZIMETUFIKIA PUNDE TOKA ZENJI ZIKISEMA KWAMBA MSANII MAARUFU WA HUKO VISIWANI YUSUF AHMED ALLEY MAARUFU KAMA BWAN'CHUCHU HATUNAYE TENA. HABARI HIZO ZINASEMA BWAN'CHUCHU AMEFIA JIJINI NAIROBI, KENYA, ALIKOKUWA AMEKWENDA KIKAZI. CHANZO CHA MAUTI YAKE HATUJAAMBIWA ILA IMETHIBITISHWA KWAMBA MWILI WAKE UMESHAREJESHWA ZENJI NA MSIBA UKO KWAO SEHEMU ZA KISIMA MAJONGOO NA MAZIKO YATAFANYIKA LEO SAA