Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Dk. Bilal Aingia Mzigoni Leo

-
Rehema Mwinyi.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwa katika Ofisi yake Ikulu Dar es salaam leo ikiwa ni siku ya kwanza tangu kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakati alipotembelea katika Ofisi hiyo iliyopo katika mtaa wa Luthuli jijini Dar es salaam leo ambapo ni siku ya kwanza tangu kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Leave a Reply