Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAANDAMANO YA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM

-
Rehema Mwinyi.


KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa
 hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
 Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
 kiwanja cha Kisonge, Michezani.

BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya
 Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha. 
WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria
 sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo  duniani
 katika viwanja vya Kisonge Michezani  

Leave a Reply