Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mama Salma Kikwete Awakarimu Wake Wa Mabalozi Ikulu Jijini Dar es Salaam

-
Rehema Mwinyi.

 Mke wa Rais Jakaya Kikwete, Mama Salama Kikwete (kushoto) akibusiana na Mke wa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa, Mama Anna Mkapa wakati wa hafla ya Wenza wa mabalozi na wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa ya kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2011 Ikulu, Dar es Salaam jana jioni.
 Mama Salma akifurahia jambo na Mke wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda (wa pili kulia) pamoja na wake wa Makamu wa Rais Dk Bilali, Zakia (kulia) na Asha.
 Mama Salma akiagana na wenza wa mabalozi baada hafla hiyo kumalizika kwmeye viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam Jana
  Mama Salma akijadiliana jambo na Mwakilishi wa UNFPA nchini, Dk. Julitta Onabanjo wakati wa hafla hiyo.
 Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Vodacom Foundation, Mwanvita Makamba ambaye alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa kwenye hafla hiyo.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wenza wa mabalozi wakati wa sherehe ya mwaka mpya(Sherry Party) iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni

Leave a Reply