Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mti Waangukia Magari Dar Leo

-
Rehema Mwinyi.



Mti unaoonesha umekula chumvi nyingi mchana huu umeangukia magari mawili yaliyopaki mtaa wa Jamhuri jijini Dar na kusababisha uharibifu mkubwa wa gari moja
wananchi wakipita karibu na ajali hiyo
Kioo cha mbele kimepata madhara, gari lingine limesevu kiasi

Leave a Reply