Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

DK SHEIN AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA WIZARA ZA AFYA, ARDHI, MAKAAZI MAJI NA NISHATI

-
Rehema Mwinyi.



Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya hiyo kuhusu azma ya serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi wake,kwa kipindi cha mwaka mmoja ujao,  kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012
  Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya hiyo kuhusu azma ya Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi wake,kwa kipindi cha mwaka mmoja ujao,  kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya Ikulu mjini Zanzibar jana,na kujadili namna ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo kwa kipindi cha mmoja ujao,hasa kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Makaazi,maji na Nishati, Ikulu mjini Zanzibar jana,na kujadili namna ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo kwa kipindi cha mmoja ujaohasa kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad

Leave a Reply