Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mtoto miezi 4 aelea bila boya

-
Rehema Mwinyi.





Hata hivyo, taarifa ya kutozama kwa mtoto huyo iliibua mjadala mzito ambapo kwa mujibu wa wanamaji, inawezekana alikuwa amevalishwa nepi na ‘pempasi’ yenye nailoni ndiyo maana hakuzama.

Kundi lingine lilidai kuwa, hata kama angekuwa amefungwa pempasi, angezama eneo la kichwa na kubakiza sehemu iliyofungwa pempasi ikiwa juu hivyo wao waliamini ni Mungu tu!

 Hata hivyo, habari za uhakika zilidai kuwa mtoto huyo anaendelea vizuri.
Hadi gazeti hili linatinga mitamboni, zaidi ya watu 240 waliripotiwa kupoteza maisha na zaidi ya 600 kuokolewa katika ajali hiyo mbaya.


na glp.

Leave a Reply