Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MZEE KIPARA WA KAOLE AFARIKI

-
Rehema Mwinyi.

Baadhi ya wasanii waliofika kumjulia hali jana ni pamoja na  Fatuma Makongoro 'Bi Mwenda' (mbele).

MSANII mkongwe wa maigizo na filamu, Mzee Fundi Said, aliyevuma katika fani…
Mzee upara akipata matibabu jana.
Muuguzi akimhudumia Mzee Kipara.
Baadhi ya wasanii waliofika kumjulia hali jana ni pamoja na  Fatuma Makongoro 'Bi Mwenda' (mbele).
MSANII mkongwe wa maigizo na filamu, Mzee Fundi Said, aliyevuma katika fani hiyo tangu akishiriki uigizaji vipindi vya Radio Tanzania hadi kundi la Kaole, amefariki leo asubuhi majira ya saa 3:30 huko Kigogo.  Hali ya msanii huyo ilianza kuwa ya utata miaka ya karibuni akisumbuliwa na matatizo kadhaa ya kimwili ambapo jana hali yake ilikuwa mbaya wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika makazi yake katika nyumba inayomilikiwa na kundi la Kaole.
Mtandao huu utawaletea habari zaidi za tukio hilo pindi zitakapopatikana.

na globalpublishers 

Leave a Reply