Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

DALILI ZA KUWA NA STRESS

-
Rehema Mwinyi.



Kuna mambo mengi au hali flani inaweza kuwa inajitokeza kwako mara kwa mara na usijue ni nini, au ukapuuzia lakini baadae ikaja kukuletea madhara makubwa. Ukiona mtu au kuhisi dalili zifuatazo, ujue ndio mwanzo wa stressKimbia ukapate msaada kabla mambo hayajaharibika 

1. Kutojiamini
 

2. Kujawa na mawazo mengi kichwani (Msongo wa mawazo)
3. Kuwazia mabaya wakati wote
4. Kuongea kwa sauti (Shouting)

5. Kula chakula au kunywa pombe kupindukia
6. Kushindwa kula (Kupoteza hamu ya chakula) 
7. Kushindwa kujichanganya na watu (Anti-Social)

8. Kusahau vitu mara kwa mara 
9. Kupata tabu ku concentrate katika mambo
 
10.Matatizo ya tumbo, mdomo kukauka, misuli kukaza na kutoka jasho mara kwa mara

11. Kuamka mapema 
12. Moyo kwenda mbio
 
13. Kusikia joto
 
14. Kichwa kuuma

YAFANYIE KAZI KABLA HUJACHELEWA

source jaydee.

Leave a Reply