
1. Kutojiamini

3. Kuwazia mabaya wakati wote
4. Kuongea kwa sauti (Shouting)
5. Kula chakula au kunywa pombe kupindukia
6. Kushindwa kula (Kupoteza hamu ya chakula)
7. Kushindwa kujichanganya na watu (Anti-Social)

9. Kupata tabu ku concentrate katika mambo
10.Matatizo ya tumbo, mdomo kukauka, misuli kukaza na kutoka jasho mara kwa mara
11. Kuamka mapema
12. Moyo kwenda mbio
13. Kusikia joto
14. Kichwa kuuma
YAFANYIE KAZI KABLA HUJACHELEWA
source jaydee.