Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HALI ILIVYO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS.

-
Rehema Mwinyi.

 Msalaba Mwekundu wakiwa stand by na pia msaada unahitajika
Watu wameisha anza kuzima na msalaba mwekundu umeanza kazi yao
Watu wengi wanazidiwa na kuzimia.Jamaa wa Red Cross wanajitahidi kadiri wanavyoweza.They are doing an amazing job
Ni majonzi 
 Mgeni Rasmi Mama Salma alipowasili msibani na waombolezaji wengine
 Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbiliyini alipowasili viwanjani hapo


 Mheshimiwa Joseph Mbilinyi akiongea na wanahabari
 Nnape Nnauye akiongea na wanahabari juu ya msiba huu
 Umati wa watu
 Millard Ayo & Ephraim Kibonde ndo wanedesha shughuli
Huyu ni kibaka akiwa amenaswa hapo msibani
Jukwaa likfanyiwa maandilizi

 

Kwa habari zilizo tufikia na aliyepo eneo la tukio (Viwanja vya Leaders) ambako mwili wa marehemu Steven Kanumba uliwasili majira ya saa tatu kwa ajili ya misa na kuagwa.
Zoezi la kuaga limeshindikana kwa upande wa umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria hapo baada ya viongozi pekee kupata fursa ya kuaga na kufuatiwa fujo na polisi kushindwa kudhibiti kulingana na idadi kubwa ya waombolezaji.
Hivyo mwili wa msanii huyo maarufu wa filamu unaelekea kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam huku gari iliyobeba mwili wake ikisukumwa na wananchi  waliojipanga barabarani kuelekea makaburini.
Huu ni umati wa watu unao elekea makaburini
Gari lililo beba mwili wa marehemu Steven Kanumba likielekea makaburini
 
picha na jeff masangi.

Leave a Reply