Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MKAPA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU

-
Rehema Mwinyi.


Mkapa akiingia Mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.
Akisindikizwa kuelekea kizimbani.
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, leo amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhojiwa na mawakili wa serikali na wanaomtetea aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy, Costa Mahalu, kwenye kesi ya ufujaji fedha katika ununuzi wa jengo la ubalozi inayomkabili balozi huyo.
Jengo hilo lilinunuliwa kwa shilingi, bilioni 2.9.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL

Leave a Reply