Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar SUZA chamtunukia Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman Cheti cha Shukurani

-
Rehema Mwinyi.


Bwana Hassan Simba Hassan SUZA Public Relation Officer.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -Taaluma Dr. Haji Mwevura akimkabidhi WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman  cheti maalumu cha shukurani kwa mchango wake mkubwa alioutoa wakati alipokua waziri wa elimu .

WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman.
                  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -Taaluma Dr. Haji Mwevura 



WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman akimshukuru
                  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -Taaluma Dr. Haji Mwevura 



                  




Kutoka kushoto ni    Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -Taaluma Dr. Haji Mwevura, Bwana Hassan Simba Hassan  SUZA Public Relation Officer, Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman
               





Leave a Reply