Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Muhanga wa ubakaji India afariki dunia

-
Rehema Mwinyi.


rape case
Mwili wa mwanamke wa India ambaye amefariki hospitalini nchini Singapore baada ya kubakwa kinyama mjini New Delhi ulitarajiwa kurejeshwa nyumbani siku ya Jumamosi (29 Disemba). Balozi  wa India  nchini  Singapore, T. C. A Raghavan  amewaambia waandishi  habari kwamba mwanamke huyo alifariki kutokana na viungo vyake kushindwa kufanya kazi akiwa anapatiwa matibabu. Endelea…

Leave a Reply