Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Dr Shein Afanya Uteuzi wa Zanzibar Bureau of Standards

-
Rehema Mwinyi.

 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Profesa Ali Seif Mshimba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango la Zanzibar(Zanzibar Bureau of Standards) katika Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar.
 
Kwa mujibu wa Taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee imeeleza kuwa Rais amefanya uteuzi huo kwa uwezo aliopewa chini ya kifungu 8(2)(a) cha Sheria ya Viwango namba 1 ya mwaka 2011.
 
Uteuzi huo umeanza jana.
 
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR
3/1/2013

Leave a Reply