Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MCHUMBA WA PREZZO, GOLDIE WAFARIKI DUNIA

Goldie Harvey enzi za uhai wake. Goldie akiwa na mchumba wake Prezzo. MWANAMUZIKI kutoka nchini Nigeria, Goldie Harvey ambaye pia ni mchumba wa msanii Prezzo amefariki dunia.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Nigeria, Goldie amefariki dunia akiwa hopitalini nchini humo muda mfupi baada ya kutoka nchini Marekani alipohudhuria tuzo za Grammys. Prezzo hakupatikana kudhibitisha tukio

[ Read More ]

UTOAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA KWA UPANDE WA ZANZIBAR AWAMU YA KWANZA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Kitambulisho cha Taifa kutokakwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera Ame Silima,wakati wa  Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande waZanzibar,katika  hafla iliyofanyika jana  viwanja vya Baraza laWawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na RamadhanOthman,Ikulu.] Rais

[ Read More ]