Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

 Nelson Rolihlahla Mandela.   LEO ni siku ya kuzaliwa kwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela. Mzee Mandela ametimiza miaka 95 ya kuzaliwa mbali na afya yake kuwa mbaya baada ya kuwa mahututi kwa muda mrefu katika hospitali moja nchini Afrika Kusini. Tunamtakia kila la kheri Mzee Mandela katika siku yake ya kuzaliwa le

[ Read More ]

MAMA AMCHOMWA MWANAE NA MKASI MARA 90 KWA MADAI YAKUMG'ATA ZIWA AKIWA ANANYONYA.

Maskini unyama mwingine hauna hata maana maybe alikuwa amechanganyikiwa Kweli ukistaajabu ya Musa.... Ni kama miujiza kwa mtoto wa kichina kuwa hai mpaka sasa licha ya kuchomwa chomwa mara 90 na mama yake mzazi huko China kwa madai kuwa alimng’ata ziwa mama yake wakati akinyonyeshwa. Kwa mujibu wa Daily Mail mtoto huyo Xiao Bao mwenye miezi 8 tu ameshonwa zaidi ya nyuzi 100 ili kuurudisha

[ Read More ]