Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

-
Rehema Mwinyi.

 Nelson Rolihlahla Mandela.
 
LEO ni siku ya kuzaliwa kwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela. Mzee Mandela ametimiza miaka 95 ya kuzaliwa mbali na afya yake kuwa mbaya baada ya kuwa mahututi kwa muda mrefu katika hospitali moja nchini Afrika Kusini. Tunamtakia kila la kheri Mzee Mandela katika siku yake ya kuzaliwa leo.

Leave a Reply