Kijana huyo ambaye jina lake halikufahamika mara moja aliingia uwanjani wakati mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Taifa Stars na Brazil inaendelea na kwenda kumkumbatia Kaka.
Mashabiki walionyesha kuvutiwa naye na kuanza kumshangilia kwa nguvu, kama hiyo haitoshi mashabiki uwanjani hapo waliwazomea askari Polisi walipoanza kumpiga wakitaka wasifanye hivyo.
”Wale askari hawajui mapenzi, yule kaonyesha ustaarabu, kamkumbatia Kaka halafu katoka zake uwanjani wala hajafanya kitu chochote. Anastahili sifa,” alisema shabiki mmoja akiunga mkono na wenzake ambao waliendelea kuwazomea askari Polisi.
Hata baada ya mechi kijana huyo ambaye alikamatwa na Askari Polisi alikuwa gumzo kubwa huku watu wengi wakimpongeza kwamba ametimiza ndogo yake kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kumkumbatia Kaka tena katikati ya uwanja lakini kwa amani ya kutosha.
Kijana huyo alitokea Magharibi ya uwanja huo na aliruka uzio baada ya kuvua viatu na kutoa kila kitu alichonacho mfukoni akihofia kuonekana anakwenda kumdhuru Kaka.
Baada ya hapo alianza kuingia uwanjani akiita, “Kaka, Kaka, Kaka”, huku akionyesha kama anataka kulia. Baada tu ya kumfikia, alimkumbatia kama mtu wanayefahamiana siku nyingi, Kaka hakuwa na hiyana alimpokea vizuri.
Halafu Kaka anayechezea Real Madrid, alimuomba shabiki huyo atoke uwanjani ili waendelee kusukuma gozi, naye taratibuu alitoke nje upande wa Magharibi kama mtu aliyefunga bao, mikono juu na mwenye furaha.
Waliokuwa wamekaa naye karibu walieleza kuwa kijana huyo alifanya maandalizi ya takribani dakika 15 akijiandaa kuingia uwanjani na mwisho aliapa, “potelea mbali kama nitafungwa au nife sawa, mimi naenda kwa Kaka.”
Kupata picha zaidi za tukio hilo bonyeza hii 'Link' hapa chini
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/jamaa-aweka-histori...
habari kwa hisani ya global publishers

Petrol and diesel prices are almost certain to increase after an empowered group of ministers (EGoM) meets to decide on fuel pricing on Monday, Oil Ministry sources tell CNN-IBN.
The EgoM, which is headed by Finance Minister Pranab Mukherjee and includes the Oil Minister, will meet on Monday afternoon to consider a Kirit Parikh Committee report that calls for freeing of petrol and diesel prices from government control.
If petrol prices are decontrolled, rates may go up by Rs 3.35 per litre, which being the difference between the retail price and imported cost. Mukherjee may even push for freeing pricing of diesel - the nation's most consumed fuel that is used in transport sector and hence has inflationary impact.
Also on cards is a Rs 50 per cylinder hike in domestic LPG prices, which may be moderated if Railway Minister Mamata Banerjee and other allies in the ruling United Progressive Alliance insist. A marginal increase in politically sensitive kerosene, which is used by the masses for lighting and cooking purposes, may also be proposed at the EGoM.
The EGoM will have to raise the price of petrol by Rs 3.35 per litre and that of diesel by Rs 3.49 a litre to free them from government control.