Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

K'Naan ft. Nancy Ajram - Waving Flag [FIFA World CUP 2010]

[ Read More ]

MESSAGE OF THE DAY.

[ Read More ]

MTOTO ALIETIA FORA KWENYE MECHI KATI YA TZ NA BRAZIL.

[ Read More ]

Aliyemkumbatia Ricardo Kaka Neshno Apata Dhamana




Kombo akiwa kwenye gari na babake (kulia) pamoja na Askari kanzu wakielekea Polisi Chang'ombe kupewa dhamana.

picha kutoka kwa Issa michuzi.
[ Read More ]

ALIYEMVAA KAKA KATIKATI YA UWANJA AWA SHUJAA

  KIJANA Mtanzania aliyeingia uwanjani na kwenda moja kwa moja kumkumbatia kiungo nyota wa Brazil, Ricardo Kaka amekuwa gumzo na ‘shujaa’ kwa mashabiki wa soka nchini.

Kijana huyo ambaye jina lake halikufahamika mara moja aliingia uwanjani wakati mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Taifa Stars na Brazil inaendelea na kwenda kumkumbatia Kaka.


Mashabiki walionyesha kuvutiwa naye na kuanza kumshangilia kwa nguvu, kama hiyo haitoshi mashabiki uwanjani hapo waliwazomea askari Polisi walipoanza kumpiga wakitaka wasifanye hivyo.

”Wale askari hawajui mapenzi, yule kaonyesha ustaarabu, kamkumbatia Kaka halafu katoka zake uwanjani wala hajafanya kitu chochote. Anastahili sifa,” alisema shabiki mmoja akiunga mkono na wenzake ambao waliendelea kuwazomea askari Polisi.

Hata baada ya mechi kijana huyo ambaye alikamatwa na Askari Polisi alikuwa gumzo kubwa huku watu wengi wakimpongeza kwamba ametimiza ndogo yake kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kumkumbatia Kaka tena katikati ya uwanja lakini kwa amani ya kutosha.
Kijana huyo alitokea Magharibi ya uwanja huo na aliruka uzio baada ya kuvua viatu na kutoa kila kitu alichonacho mfukoni akihofia kuonekana anakwenda kumdhuru Kaka.

Baada ya hapo alianza kuingia uwanjani akiita, “Kaka, Kaka, Kaka”, huku akionyesha kama anataka kulia. Baada tu ya kumfikia, alimkumbatia kama mtu wanayefahamiana siku nyingi, Kaka hakuwa na hiyana alimpokea vizuri.

Halafu Kaka anayechezea Real Madrid, alimuomba shabiki huyo atoke uwanjani ili waendelee kusukuma gozi, naye taratibuu alitoke nje upande wa Magharibi kama mtu aliyefunga bao, mikono juu na mwenye furaha.

Waliokuwa wamekaa naye karibu walieleza kuwa kijana huyo alifanya maandalizi ya takribani dakika 15 akijiandaa kuingia uwanjani na mwisho aliapa, “potelea mbali kama nitafungwa au nife sawa, mimi naenda kwa Kaka.”

Kupata picha zaidi za tukio hilo bonyeza hii 'Link' hapa chini
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/jamaa-aweka-histori...

habari kwa hisani ya global publishers
[ Read More ]

Tank up, petrol, diesel prices set to rise



Petrol and diesel prices are almost certain to increase after an empowered group of ministers (EGoM) meets to decide on fuel pricing on Monday, Oil Ministry sources tell CNN-IBN.

The EgoM, which is headed by Finance Minister Pranab Mukherjee and includes the Oil Minister, will meet on Monday afternoon to consider a Kirit Parikh Committee report that calls for freeing of petrol and diesel prices from government control.

If petrol prices are decontrolled, rates may go up by Rs 3.35 per litre, which being the difference between the retail price and imported cost. Mukherjee may even push for freeing pricing of diesel - the nation's most consumed fuel that is used in transport sector and hence has inflationary impact.

Also on cards is a Rs 50 per cylinder hike in domestic LPG prices, which may be moderated if Railway Minister Mamata Banerjee and other allies in the ruling United Progressive Alliance insist. A marginal increase in politically sensitive kerosene, which is used by the masses for lighting and cooking purposes, may also be proposed at the EGoM.

The EGoM will have to raise the price of petrol by Rs 3.35 per litre and that of diesel by Rs 3.49 a litre to free them from government control.


habari ndio hiyo...

[ Read More ]

PHOTO OF THE DAY.

[ Read More ]

YUSUF CHUCHU AFARIKI DUNIA




HABARI ZIMETUFIKIA PUNDE TOKA ZENJI ZIKISEMA KWAMBA MSANII MAARUFU WA HUKO VISIWANI YUSUF AHMED ALLEY MAARUFU KAMA BWAN'CHUCHU HATUNAYE TENA. HABARI HIZO ZINASEMA BWAN'CHUCHU AMEFIA JIJINI NAIROBI, KENYA, ALIKOKUWA AMEKWENDA KIKAZI. CHANZO CHA MAUTI YAKE HATUJAAMBIWA ILA IMETHIBITISHWA KWAMBA MWILI WAKE UMESHAREJESHWA ZENJI NA MSIBA UKO KWAO SEHEMU ZA KISIMA MAJONGOO NA MAZIKO YATAFANYIKA LEO SAA 10 KWENYE MAKABURI YA MWANAKWEREKWE.
BWAN'CHUCHU ATAKUMBUKWA KWA UHODARI WAKE KATIKA MUZIKI HASA ALIPOUNDA BENDI YA CHUCHU SOUND ILIYOTAMBA SANA KWA VIBAO VYAKE VIKALI NA CHAPUO ZA MAONGEZI KATI YAKE NA OMARI MKALI YALIYOKUWA YAKIHITIMISHWA NA NENO LA 'EE! KWAHERI'.
MAREHEMU CHUCHU PIA ALIKUWA MMOJA WA WAJUMBE WA BODI YA TAMASHA LA KILA MWAKA LA SAUTI ZA BUSARA NA PIA ALIKUWA ANAMILIKI STUDIO YA KUREKODIA MUZIKI PAMOJA NA STESHENI YA REDIO.
MOLA AIWEKE MAHALA PEMA ROHO YA MAREHEMU
-AMIN
[ Read More ]

PHOTO OF THE DAY.

[ Read More ]

PHOTO OF THE DAY.

[ Read More ]