Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

'BABU' MPYA AIBUKA ZENJ




MGANGA wa tiba mbadala aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Msigwa kutoka Kigoma Tanzania amedai kuvumbua dawa aina ya 4A 9 Medicine inayotibu magonjwa sugu ikiwemo ukimwi.

Akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliotayarishwa na Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo (WAHAMAZA) Mtaa wa Welesi Kikwajuni Mjini Zanzibar Msigwa alisema kwamba dawa zake zimetoa mafanikio makubwa sana kwa wagonjwa kadhaa aliowatibu hadi sasa.

Alisema dawa yake imenza kutumika zaidi ya mikoa 11 ya Tanzania Bara ikiwemo Kigoma, Arusha Mwanza, Iringa na mikoa mengine lakini pia jijini Dar es Salaam pia ametoa huduma hiyo kwa watu kadhaa.

Mganga huyo alisema alipata nafasi ya kwenda Nchini Muscat Oman na kufanya kazi kubwa sana ya kutoa huduma ambapo mgonjwa mmoja alikuwa akimuona kwa real 20 sawa na dola 50 za marekani ambapo wagonjwa wengi waliotumia daa zake walipona.

Matumizi ya dawa yake vipimo vyake unatumia kichupa kimoja au viwili hadi kupona kabisa hata hivyo alikataa kutaja inatokana na aina gani ya miti lakini alisema hiyo ni siri yake kwa kuwa dawa nyingi hutokana na miti ya majani hasa hizo zinazotumiwa katika hospitali kubwa za kimataifa.

Mganga huyo alisikitishwa na kukosekana ushirikiano kwa taasisi za juu za Afya ikiwemo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya Jamhuri ya Muungano Tanzania na ambapo imeshindwa kutambua dawa hiyo aliyodungua na kutibu.

Alisema hadi sasa ameweza kutibu zaidi ya wagonjwa wapatao 800 hapa Zanzibar katika kipindi kifupia alichokaa amekuwa akipokea wagonjwa wengi sana na wa maradhi mbali mbali ikiwemo maradhi ya kisukari, ukimwi na magonjwa ya akina mama.

Akitaja matumizi ya dawa zake Mganga huyo alisema kazi ya dawa hiyo ni kusukuma damu mwilini, kuongeza madini ya chuma, kuongeza kinga katika mwili na kujikinga na maradhi mbali mbali.

Mganga huyo alisema ujuzi wa matumizi ya dawa ambayo imegunduliwa miaka mingi lakini kwa zaidi ya miaka 13 sasa inafanya kazi ya kuwatibu wagonjwa mbali mbali ndani na nje ya nchi hiyo amesema awali dawa hiyo iligunduliwa na mama yake mzazi ambaye ameshafariki muda mrefu lakini kwa zaidi ya miaka kumi na tatu dawa hiyo amekuwa akiitumia kuwatibia watu mbali mbali ndani na nje ya nchi ikiwemo nchini Muscat Oman.

Aidha aliilaumu serikali ya Tanzania kupitia wizara ya afya kwa kushindwa kuitambua dawa hiyo ambayo imeshatibu watu tofauti na imekuwa ikiwapa nafuu wagonjwa wengi wa maradhi mbali mbali kwa madai kwamba dawa yake wanaifanyia utafiti jambo ambalo alisema limekuwa likisuasua.

“Tatizo liliyopo ni kati ya wataalamu wakizungu na sisi waganga wa tiba asili waganga wa dawa hizi za mitishama na ndio maana wakaweka kikwazo hiki kwamba wanaifanyia utafiti jambo ambalo linachelewesha dhana nzima ya utoaji tiba kwa wagonjwa” alisema mganga huyo.

Katika mkutano huo ambayo uliwashirikisha watu wenye kuishi na virusi vya ukimwi na asasi zisizokuwa na kiserikali Mganga huyo alisema dawa yake imetambuliwa na Baraza la Tiba Asilia la Zanzibar pamoja na bodi ya chakula na vipodozi na kwa sasa amekuwa akitoa dawa zake kwa urahisi na wagonjwa wengi wamekuwa wakienda kuchukua dawa zake.

Alisema watu walioathirika na virusi vya ukimwi na wagonjwa wengine wamekuwa wakitegemea dawa zake lakini aliwataka wagonjwa kutovunjika moyo na matumizi ya dawa hizo ambazo amesema yupo tayari kutoa tiba kwa kuwasaidia wagonjwa wanne ambao atawapa dawa bure iwapo watakubali kwenda kuangaliwa afya zao kwanza kabla ya kutumia dawa hizo.

“Mimi sharti langu ni kwamba kabla hujatumia dawa zangu basi hutaka lazima ukachekiwe afya yako na upimwe kwanza ili ukija kutumia nijua ni virusi vingapi ulivyonavyo mwilini na baada ya kumaliza kutumia dozi yangu pia hutaka wende ukapime vile vile ili tujue waliobaki na kama wameshamalizika” alisisitiza mganga huyo.

Akifafanua kwamba baadhi ya watu wenye virusi vya ukimwi kwa watu wenye CD4 kiwango cha 427 na baada ya wiki mbili mgonjwa huyo huyo CD4 zake ziliongezeka na kufikia 613.

“Mimi dawa yangu inayo uwezo wa kuongeza CD4 kwa muda wa wiki moja tofauti na zile za kupunguza makali ya virusi za ARV na kabla ya kumpa mgonjwa dawa nataka kwanza akapime na aje na vipimo vyake ndipo aweze kutumia daa hizi” alisema Msigwa.



Akitoa ushuhuda wa magonjwa yaliokuwa yakimsumbua mmoja ya wagonjwa aliyejitambulisha kwa jina la Jaffar Masale ambaye alidai awali kuwa na ukimwi lakini baada ya kutumia dawa hiyo amepona kabisa kwa mujibu wa vipimo alivyopewa huko katika hospitali mbali mbali alizokwenda kupimwa.



“Kwa kweli niseme kwamba nilikuwa katika hali mbaya sana baada ya vipimo kubaini kwamba nimeathirika na ukimwi na nilikuwa naharisha na ngozi yangu yote kuharibika lakini baada ya kutumia dawa hiyo sasa nipo salama na ninaweza kufanya kazi zangu vizuri sana na ninashukuru kwamba hivi sasa nimepata nguvu ya kufanya kazi” alisema Masale.



Shuhuda mwengine ni mhadhiri wa chuo kikuu, Abdulkadir Mohammed amesema yeye alikuwa akizumbuliwa na malaria sugu ambayo kwa miezi kadhaa amekuwa akitumia dawa bila ya mafanikio lakini baada ya kutumia dawa za Mganga huyo amepona na amekwenda kupima ameonekana amepona kabisa.

“Nilikuwa nimeshachoka kutumia madawa ya kila aina lakini nashukuru kwamba nilipotumia dawa za Dk Msigwa nimepona kabisa lakini nilipokwenda hospitali kupima nikaulizwa nimetumia dawa gani lakini sikutaka kusema dawa niliotumia lakini kwa ufupi dawa nilizotumia ni hizi hizi” alisema mhadhiri huyo katika mkutano huo.



Msigwa alitoa ombi kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupatikana kwa mashine ya kujuwa kiwango cha virusi katika damu ya binaadamu inayojulikanana kwa jina la 'Viral load' ili wananchi wapate kwenda kupima afya zao kupitia kipimo hicho.

“Mashine hii ni muhimu sana ambayo ikipatikana itawasaidia wagonjwa kujuwa kiwango cha virusi katika damu yao ....kwa sasa wagonjwa hao wanakwenda Dar-es-Salaam kupima lakini ikipatikana hapa itakuwa rahisi kujulikana vipimo vyao badala ya kupoteza nauli kufuata huduma hiyo mbali”alisema Msigwa.

Msingwa alisema hakuna kipimo hata kimoja kinachoweza kukuonesha mgonjwa ambaye ana vizuri vya ukimwi na baadaa ya kutumia dawa vipimo vikaonesha kwamba hana ukimwi.


“Mimi nawashangaa watalaamu wa tiba unapokwenda kupima daktari anaokwambia kuwa wewe una virusi idadi kadhaa maana idadi ya virusi ni kubwa inafika millioni 50 na zaidi lakini ukishatumia dawa ukenda tenda wanakwambia virusi vyao vimemalizika mwilini sasa kama virusi vimemalizika madaktari wanasita nini kusema kwamba wewe umepona? Alihoji Mganga huyo na kuongeza kwamba “hakuna kipimo duniani kitakachokuonesha kwamba wewe ni positive na baadae upime tena kipimo hicho kiseme wewe ni negative kipimo hicho hakuna duniani kote” alisema.
[ Read More ]

VODACOM YAZINDUA NEMBO MPYA.

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, leo imezaliwa upya kwa kuzindua nembo na rangi mpya za kampuni yake na kuahidi kuboresha huduma zake kwa wateja wake. Akiongea mbele ya waalikwa mchana huu katika hoteli ya Kempinski, Mkurugenzi Mtendaji Bw. Dietlof Mare(pichani) alisema kuwa kampuni yake siyo tu imebadilisha rangi, bali imeboresha na huduma zake pia, kuanzia mawasiliano ya simu hadi M-pesa.
...Bw. Mare akiongea mbele ya wanahabari
...mbele ya jukwaa maalum muda mfupi kabla ya uzinduzi rasmi
..Mkurugenzi wa Radio One/ITV  Bi. Joyce Mhaville akiwa na Mkurugenzi wa Star TV/Radio Free Africa, Samuel Nyalla
baadhi ya wageni waalikwa
....baadhi ya wageni waalikwa
wanahabari Willy edward (kushoto), Gerald Hando na Bi. Regina Mwalekwa....mwana Blog...Haki Ngowi (kulia)
...kuzaliwa kwa Vodacom Tanzania
...burudani ya ngoma
,,,ufuatiliaji makini wa tukio la uzinduzi
...burudani ya muziki
mwimbaji Carola KinashaBi. Mwamvita Makamba with a smile baada ya uzinduzi wa rangi mpya wa kampuni yake
source:gpl

[ Read More ]

HAPPY MOTHER'S DAY.





Many hugs, Only luv never anger, Teaching me,Helping me, Every smile when I was sad, 

Raising me to be strong, It spells Mother. Thanks for being u.love u mama happy-mother's 

day.
[ Read More ]

INDIAN COW.


I guess everyone can see the most laziest and impossible cows are present in India this cow doesn't want to move her butt  from the railway track and trying to convince the train driver to stop the train so that she can rest for sometime there, just kidding no one can imagine what happened after this the train stopped in front of the cow and the drivers who were driving the train loco got down from the train and struggled to get the cow out of the track which delayed the train by 1 hour mmmhhhh......
[ Read More ]

INDIA ARE CRICKET WORLD CHAMPIONS


                                                                             INDIA   GO
[ Read More ]

JAJI MKUU ZANZIBAR AWAAPISHA MAHAKIMU, MRAJIS


 Jaji Mkuu wa Zanzibar(aliyestaafu leo) Hamid Mahmoud akifafanua jambo wakati akizungumza mara baada ya kuwaapisha Mahakimu wa Mkoa, Wilaya na Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar jana(kulia ni Wakili maarufu, Hamid Mbwezeleni)
  Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Mrajis wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, George Joseph Kazi ( katikati) katika sherehe fupi zilizofanyika Mahakama Kuu jana Mjini Zanzibar
 Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Valentina Adrew Katemar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (wa katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi kulia akishuhudia

Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha  Fatma Muhsin Omar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi

(wa kwanza kushoto) akishuhudia.

Picha zote na Hamad Hija ,MAELEZO Zanzibar
[ Read More ]

DK SHEIN AFANYA MABADILIKO AMTEUA MAKUNGU JAJI WA MAHKAMA KUU, OTHMAN MWANASHERIA MKUU


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Othman Masoud Othman kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu, Othman alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Omar Othman Makungu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Omar alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kuteuliwa Jaji wa Mahkama Kuu.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
[ Read More ]

Unene wasababisha moyo usionekane



UNENE wa Alan Belmont umesababisha madaktari washindwe kuuona moyo wake.


Kijana huyo alishtuka baada ya madaktari kumweleza kuwa mashine zao hazikuwa na uwezo wa kupenya kwenye 'manyama nyama' yake ili kufahamu mapigo ya moyo.


Soma hapo chini


A man who weighs 34 stone has finally decided to lose weight after doctors were unable to detect his heart beat because he was so FAT.

Alan Belmont, 24, was shocked when doctors told him they could not find his pulse despite using a stethoscope and even an ultra-sound machine.

Doctors told him the hospital's machines were not powerful enough to penetrate his thick layer of blubber.


Belmont claims he piled on the pounds after suffering from asthma as a child.


Medics eventually found a weak pulse under his arm and were able to give him a reading.

But the experience shocked Mr Belmont, who wears a staggering XXXXXL clothing, into losing weight.

Mr Belmont, from Worcester, has set himself the incredible target of losing 20 STONE - nearly half his body weight.

He said: 'I went to the hospital recently and they told me they couldn't find my heart and I thought to myself

"I'm a dead man walking."

'They could not even find it using an ultra sound, which is what they use on pregnant women.
'I was quite embarrassed when the doctors said they couldn't find my pulse. It suddenly hit me that I had to make a drastic change to my life and lose weight.

'When I get in cars I can't get the seatbelt on so I would like to get myself fit. I would just like to be a normal person again.'
[ Read More ]

VIONGOZI WA VODACOM NDANI YA IKULU.......

Rais Jakaya Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ , Pieter Uys, (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare (kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba, wakati wa ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Dar es Salaam juzi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya kuongeza uwekezaji nchini.

Rais Jakaya Kikwete, akimkaribisha Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ , Pieter Uys, wakati wa ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Dar es Salaam juzi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya kuongeza uwekezaji nchini, (kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba.

Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba, wakati alipoongozana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ ,Pieter Uys (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare (wapili kushoto) kwa ajili ya mazungumzo na rais kuhusu Masuala ya kuongeza uwekezaji nchini, Ikulu Dar es Salaam jana
[ Read More ]

JUSTIN BIEBER& HIS MOM USED TO LIVE IN POVERTY!


Justin Bieber, the new sensation in pop music, admitted recently that until he became famous he lived on the step of poverty. The teenage star, who became a phenomenon in showbiz, sold more than two million albums, but before being famous, Justin and his mother Pattie Mallette were very poor. They could not live without the donations from the local church and Justin even had to sing on the street so he could take his mother in a vacation. But all this has made Justin stronger, he said. Now only at the age of 16 he’s a superstar.Justin Bieber’s story is such a great tale of overcoming the odds! He and his mother used to live in poverty after his dad walked out on them when he was a kid. Justin was so poor that he didn’t even have a bed to sleep on, and his house was full of mice.
“That place was really dirty. We had mousetraps everywhere because there were mouses – uh, mice – in the house. I didn’t have a real bed. I slept on a blue pull-out couch in my room.”

Justin said that he’d love to play Oliver Twist in a movie because he can relate to the character.“We didn’t have anything in the fridge, except maybe luncheon meat for school and macaroni and cheese. I’d love to play Oliver Twist.”I knew that Justin had an impressive backstory, but I hadn’t realized how bad things were. Thank god he was discovered on Youtube!
[ Read More ]