Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

WE ARE BACK.


[ Read More ]

INNAA LILAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UN - MAULID MOHAMMED MACHAPRALA HATUNAYE TENA


 Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia
 Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala

 Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala

WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti Nambari Mwembetanga baada ya sala ya Ijumaa,
[ Read More ]

DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MACHAPRALA



 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.


 Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki  katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya ya kati Unguja,pichani Dk  Shein,akitia udongo katika kaburi kama isharakatika mazishi hayo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pichani na waislamu wengine wakishuhudia harakati za mazishi ya Msanii Maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyezikwa kijijini Bambi wilaya ya kati Unguja leo.


Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
[ Read More ]

FOR SALE...

[ Read More ]

HUU NI KATILI.....

MWANAUME mmoja Aron Tilian (40) mkazi wa Kijiji cha Itimu, Kata ya Iwindi mkoani Mbeya amekamatwa na polisi kwa madai ya kufanya unyama kwa kumnyonga mpaka kufa mwanaye mwenye umri wa miaka mitatu na kumzika kwenye shamba la nyanya kisha juu yake kupanda miche ya mmea huo.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kijiji hicho ambapo baada ya ukatili huo inadaiwa muuaji huyo alipeleka taarifa za uongo katika Kituo cha Polisi cha Mbalizi akidai kuwa mtoto huyo alikuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

 Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya mashuhuda na askari polisi walisema kuwa, Aprili 21 mwaka huu Tilian alifika kituo cha polisi na kutoa taarifa huku akiutangazia umma kuwa mwanaye huyo alikuwa amepotea.

 Baada ya taarifa hizo wananchi wanaoishi katika kijiji hicho walitafakari na kuangalia vizuri mazingira ya upotevu wa mtoto huyo ambapo walibaini kuwa Tilian hakuwa na uhusiano mwema marehemu ambaye hakuwa mwanaye wa kumzaa.

“Huyu ndugu wakati anamuoa mkewe alimkuta akiwa na mtoto huyo, baada ya kuanza kuishi naye  akaanza kumfanyia visa mtoto  sasa limetokea hili,’’ alisema shuhuda mmoja kwa sharti la kutoandika jina gazetini.

Siku ya Ijumaa Kuu Aprili 22, mwaka huu wananchi walimkamata mtuhumiwa na kuanza kumpiga ndipo alibainisha  kuwa alikuwa amemuua mtoto huyo na kumfukia katika shamba lake la nyanya, wakaamua kupiga simu kituo cha polisi,” aliongeza.

Baadhi ya askari waliofika katika eneo la tukio waliozungumza kwa sharti la kutoandikwa gazetini kwa kuwa siyo wasemaji walisema kuwa walikuta maiti ya mtoto huyo asiye na hatia ikiwa imefukiwa kwenye shimo dogo, huku kichwa chake kikiwa chini na miguu ikiwa juu.

Kwa mujibu wa polisi mmoja mwenye cheo cha juu, mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi, hata hivyo jitihada za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi ili kulizungumzia tukio hili hazikuzaa matunda.



na global publishers
[ Read More ]

Mariah Carey and Nick Cannon have celebrated their third anniversary with another milestone - becoming parents to a baby girl and boy.



The singer's representative, Cindi Berger, confirmed the births at 12.07pm (5.07pm BST) on Saturday at a hospital in Los Angeles.
Ms Berger said the baby girl was born first, weighing 5lbs 3oz and was 18ins tall. Her brother was next, at 5lbs 6oz and was 19ins.
Ms Berger said the couple had not named the children yet. Nick drove Mariah to the hospital in their Rolls-Royce Phantom. Ms Berger said the 41-year-old, who had gone through false labour, was calm, thinking that it was another false alarm.
Meanwhile, Nick, 30, was so nervous he went to the wrong department at the hospital and was guided to the maternity ward by a nurse.
"It was like right out of an I Love Lucy skit," said Ms Berger, referring to the 1950s TV comedy.
Ms Berger said they were listening to Mariah's We Belong Together after the children were born.
The couple are expected to renew their wedding vows. The pair got married in 2007 after a whirlwind romance. They were the subject of endless baby rumours, and the couple actually were expecting shortly after their marriage, but Mariah had a miscarriage. They did not reveal the miscarriage until she announced her pregnancy last autumn.
The couple plan to live a bi-coastal life, and have luxurious nurseries in both New York and Los 
[ Read More ]

ITS OFFICAL KATE MIDDLETON MARRIES THE PRINCE







[ Read More ]

MAMBO YALIVYOKUWA HARUSINI LEO KULE UINGEREZA KATIKA HARUSI YA KIFAMLE


Heheheheheeh Mr.Bean nae alikuwepo ndani miongoni mwa waalikwa...nampenda huyu baba jamani



Ilivyokuwa harusi ya Mjukuu wa malkia wa Uingereza,Prince William asubuhi ya leo....
Washangaaaji barabarani....wote hawa walikuwa wakisubiri kuona wanaopita na maharusi kwa ujumla... 


Wakenya nao naona wanawakilisha heheheheeheheh namuona mama wa kikenya akiwa katinga vazi lake la kimasai na mbele kaweka bendera yake pale kuonyesha nae alikuwepo hata kama barabarani...hii nafikiri ni kwa vile wapenzi hawa walivalishana pete za uchumba nchini Kenya.


Bibi harusi nae akiwasili katika gari la vioo ambalo sio tinted huku akipunga...akiwa anawasili kanisani kwa ajili ya kufunga ndoa.


Queen Elizabeth akiwasili kanisani kwa ajili ya harusi ya mjukuu...


Baba wa bwana harusi prince charles akiingia kanisani na mkewe Camilla 


Frower girls


Bwana harusi Prince William akiwasili kanisani...


Mke wa waziri mkuu msaidizi wa uingereza bi Miriam Gonzalez akishuka kwenye gari wakati akiwasili kwenye harusi 


Zara Phillip...mjukuu wa malkia Elizabeth kwa mtoto wake wa kike anaeitwa Anne ambae pia ni mtoto wa kike pekee wa malkia

Mama wa bibi harusi Carole Middleton akiwasili nae

Zile kofia pale kati...mweeeeeeee!!!

Mdogo wa bibi harusi

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon...

Queen Sophia,PrinceFelipe na princess Leticia wa Spain walikuwepo

Hapa princess Beatrice wa York akiwasili eneo harusi ilipofungwa..



Tara Palmer...huyu ni model,pia mtangazaji wa tvThe Backam...David & Victoria...naona tumbo la victoria limevaliwa kiatu kirefu...



Sir Elton John na mumewe....lol


Zile kofia leo nilibaki nashangaa mwenyewe....


[ Read More ]

Death Can Be Round The Corner

I wake up every morning. Within the first 30 minutes of waking up, I’m checking my e-mail and browsing the net. It’s a routine.

Before leaving for a journey, I know that I won’t get net access for a while, so I check my e-mail thoroughly and spend some extra time checking some stuff online, since I won’t be able to do so for the next little while.

In the same way, I study throughout the semester (a routine), but when it’s exam-eve, I take the extra moment to solidify the data in my mind for the exam.

In both these instances, I’m pretty sure that I’ll either be going on a journey or will be faced with an exam the next day, thus I take the time to prepare.

Alhamdulillah, through the blessing of Allah (SW) and the efforts of my parents, I have become accustomed to offering my 5 daily salat. Yet, it also has become a routine of sorts. I’m used to praying so I pray.

Many of those prayers are spent thinking about what I have to do next, while others speed-by while lost in thought about some other matter or pursuit. Although they are not the ideal salat, Insha-Allah, it is hoped that Allah (SW) will accept my duty of daily salat as being discharged, even with these semi-conscious prayers (which aren't supposed to be that way).

However, in contrast with the two examples in the beginning, I can never be sure if a salat will be my last.

During ta`leem this afternoon, a hadith caught my attention.

The Prophet (SAW) is reported (by many narrators) to have said, “Offer each salat (with) such (devotion) as if it were the last salat of your life.”

My thoughts suddenly rushed over to Southeast Asia and the tsunami disaster. Many Muslims perished (may Allah grant them all a place in Jannah). While walking out of the masjid, how many would have thought that they had just offered their last salat and that they will soon be swept to sea?

We can try to sweep it under the rug as much as we want, but the fact remains that (as I’ve said before), our birth certificates don’t carry expiry dates. The `Asr I have just prayed or the Maghrib I’m about to offer (Insha-Allah) may very well be my final call to Allah (SW) before He calls me back.

Before leaving for a journey or prior to an exam, I know that I better take the extra minutes to prepare and do it well, for I won’t get another chance in the near future. But when offering my salat, I don’t even know if I’ll suddenly find myself in an unexpected journey - from which there is no turning back.

Isn’t it ironic that I tend to sacrifice that which will (hopefully) help me in the Hereafter - when it all really counts - in exchange for short-term concerns that won’t help one bit in the Hereafter, and may even turn out to be a disadvantage for me?

Man, I’m such a fool.

May Allah (SW) help me and all of us in streamlining our thoughts towards Allah during our salat, and help us make each of our prayers as if they’re our last. Ameen.
[ Read More ]

Death Can Be Round The Corner. Ponder Over Death




Desirous to drive large, shiny cars,
essence of death - Car
REMEMBER: You will be driven one day as a horizontal passenger.




Wild and crazy over expensive clothes,
clothes when you're dead
REMEMBER: You will end up in just a 'KAFN.'




Recklessly sacrificing everything to construct beautiful homes and palatial mansions,
grave pit house
REMEMBER: the graveyard 'PIT' - one's real home.




Greedily devouring tasty dishes and all types of extravagant delicacies,
food
REMEMBER: one day YOU will be the meal for ants, worms and other insects.




Aspiring for fame, fortune, and bright lights.
reality of life
REMEMBER: the awaiting darkness and loneliness in the grave.
[ Read More ]