Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia
Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala
Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala
Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala
Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala
WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti Nambari Mwembetanga baada ya sala ya Ijumaa,
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya ya kati Unguja,pichani Dk Shein,akitia udongo katika kaburi kama isharakatika mazishi hayo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pichani na waislamu wengine wakishuhudia harakati za mazishi ya Msanii Maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyezikwa kijijini Bambi wilaya ya kati Unguja leo.
Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kijiji hicho ambapo baada ya ukatili huo inadaiwa muuaji huyo alipeleka taarifa za uongo katika Kituo cha Polisi cha Mbalizi akidai kuwa mtoto huyo alikuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya mashuhuda na askari polisi walisema kuwa, Aprili 21 mwaka huu Tilian alifika kituo cha polisi na kutoa taarifa huku akiutangazia umma kuwa mwanaye huyo alikuwa amepotea.
Baada ya taarifa hizo wananchi wanaoishi katika kijiji hicho walitafakari na kuangalia vizuri mazingira ya upotevu wa mtoto huyo ambapo walibaini kuwa Tilian hakuwa na uhusiano mwema marehemu ambaye hakuwa mwanaye wa kumzaa.
“Huyu ndugu wakati anamuoa mkewe alimkuta akiwa na mtoto huyo, baada ya kuanza kuishi naye akaanza kumfanyia visa mtoto sasa limetokea hili,’’ alisema shuhuda mmoja kwa sharti la kutoandika jina gazetini.
Siku ya Ijumaa Kuu Aprili 22, mwaka huu wananchi walimkamata mtuhumiwa na kuanza kumpiga ndipo alibainisha kuwa alikuwa amemuua mtoto huyo na kumfukia katika shamba lake la nyanya, wakaamua kupiga simu kituo cha polisi,” aliongeza.
Baadhi ya askari waliofika katika eneo la tukio waliozungumza kwa sharti la kutoandikwa gazetini kwa kuwa siyo wasemaji walisema kuwa walikuta maiti ya mtoto huyo asiye na hatia ikiwa imefukiwa kwenye shimo dogo, huku kichwa chake kikiwa chini na miguu ikiwa juu.
Kwa mujibu wa polisi mmoja mwenye cheo cha juu, mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi, hata hivyo jitihada za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi ili kulizungumzia tukio hili hazikuzaa matunda.
na global publishers
The singer's representative, Cindi Berger, confirmed the births at 12.07pm (5.07pm BST) on Saturday at a hospital in Los Angeles.
Ms Berger said the baby girl was born first, weighing 5lbs 3oz and was 18ins tall. Her brother was next, at 5lbs 6oz and was 19ins.
Ms Berger said the couple had not named the children yet. Nick drove Mariah to the hospital in their Rolls-Royce Phantom. Ms Berger said the 41-year-old, who had gone through false labour, was calm, thinking that it was another false alarm.
Meanwhile, Nick, 30, was so nervous he went to the wrong department at the hospital and was guided to the maternity ward by a nurse.
"It was like right out of an I Love Lucy skit," said Ms Berger, referring to the 1950s TV comedy.
Ms Berger said they were listening to Mariah's We Belong Together after the children were born.
The couple are expected to renew their wedding vows. The pair got married in 2007 after a whirlwind romance. They were the subject of endless baby rumours, and the couple actually were expecting shortly after their marriage, but Mariah had a miscarriage. They did not reveal the miscarriage until she announced her pregnancy last autumn.
The couple plan to live a bi-coastal life, and have luxurious nurseries in both New York and Los

Ilivyokuwa harusi ya Mjukuu wa malkia wa Uingereza,Prince William asubuhi ya leo....
Washangaaaji barabarani....wote hawa walikuwa wakisubiri kuona wanaopita na maharusi kwa ujumla...
Wakenya nao naona wanawakilisha heheheheeheheh namuona mama wa kikenya akiwa katinga vazi lake la kimasai na mbele kaweka bendera yake pale kuonyesha nae alikuwepo hata kama barabarani...hii nafikiri ni kwa vile wapenzi hawa walivalishana pete za uchumba nchini Kenya.
Bibi harusi nae akiwasili katika gari la vioo ambalo sio tinted huku akipunga...akiwa anawasili kanisani kwa ajili ya kufunga ndoa.
Queen Elizabeth akiwasili kanisani kwa ajili ya harusi ya mjukuu...
Baba wa bwana harusi prince charles akiingia kanisani na mkewe Camilla
Frower girls
Bwana harusi Prince William akiwasili kanisani...
Mke wa waziri mkuu msaidizi wa uingereza bi Miriam Gonzalez akishuka kwenye gari wakati akiwasili kwenye harusi
Zara Phillip...mjukuu wa malkia Elizabeth kwa mtoto wake wa kike anaeitwa Anne ambae pia ni mtoto wa kike pekee wa malkia









I wake up every morning. Within the first 30 minutes of waking up, I’m checking my e-mail and browsing the net. It’s a routine.
Before leaving for a journey, I know that I won’t get net access for a while, so I check my e-mail thoroughly and spend some extra time checking some stuff online, since I won’t be able to do so for the next little while.
In the same way, I study throughout the semester (a routine), but when it’s exam-eve, I take the extra moment to solidify the data in my mind for the exam.
In both these instances, I’m pretty sure that I’ll either be going on a journey or will be faced with an exam the next day, thus I take the time to prepare.
Alhamdulillah, through the blessing of Allah (SW) and the efforts of my parents, I have become accustomed to offering my 5 daily salat. Yet, it also has become a routine of sorts. I’m used to praying so I pray.
Many of those prayers are spent thinking about what I have to do next, while others speed-by while lost in thought about some other matter or pursuit. Although they are not the ideal salat, Insha-Allah, it is hoped that Allah (SW) will accept my duty of daily salat as being discharged, even with these semi-conscious prayers (which aren't supposed to be that way).
However, in contrast with the two examples in the beginning, I can never be sure if a salat will be my last.
During ta`leem this afternoon, a hadith caught my attention.
The Prophet (SAW) is reported (by many narrators) to have said, “Offer each salat (with) such (devotion) as if it were the last salat of your life.”
My thoughts suddenly rushed over to Southeast Asia and the tsunami disaster. Many Muslims perished (may Allah grant them all a place in Jannah). While walking out of the masjid, how many would have thought that they had just offered their last salat and that they will soon be swept to sea?
We can try to sweep it under the rug as much as we want, but the fact remains that (as I’ve said before), our birth certificates don’t carry expiry dates. The `Asr I have just prayed or the Maghrib I’m about to offer (Insha-Allah) may very well be my final call to Allah (SW) before He calls me back.
Before leaving for a journey or prior to an exam, I know that I better take the extra minutes to prepare and do it well, for I won’t get another chance in the near future. But when offering my salat, I don’t even know if I’ll suddenly find myself in an unexpected journey - from which there is no turning back.
Isn’t it ironic that I tend to sacrifice that which will (hopefully) help me in the Hereafter - when it all really counts - in exchange for short-term concerns that won’t help one bit in the Hereafter, and may even turn out to be a disadvantage for me?
Man, I’m such a fool.
May Allah (SW) help me and all of us in streamlining our thoughts towards Allah during our salat, and help us make each of our prayers as if they’re our last. Ameen.
[ Read More ]
Before leaving for a journey, I know that I won’t get net access for a while, so I check my e-mail thoroughly and spend some extra time checking some stuff online, since I won’t be able to do so for the next little while.
In the same way, I study throughout the semester (a routine), but when it’s exam-eve, I take the extra moment to solidify the data in my mind for the exam.
In both these instances, I’m pretty sure that I’ll either be going on a journey or will be faced with an exam the next day, thus I take the time to prepare.
Alhamdulillah, through the blessing of Allah (SW) and the efforts of my parents, I have become accustomed to offering my 5 daily salat. Yet, it also has become a routine of sorts. I’m used to praying so I pray.
Many of those prayers are spent thinking about what I have to do next, while others speed-by while lost in thought about some other matter or pursuit. Although they are not the ideal salat, Insha-Allah, it is hoped that Allah (SW) will accept my duty of daily salat as being discharged, even with these semi-conscious prayers (which aren't supposed to be that way).
However, in contrast with the two examples in the beginning, I can never be sure if a salat will be my last.
During ta`leem this afternoon, a hadith caught my attention.
The Prophet (SAW) is reported (by many narrators) to have said, “Offer each salat (with) such (devotion) as if it were the last salat of your life.”
My thoughts suddenly rushed over to Southeast Asia and the tsunami disaster. Many Muslims perished (may Allah grant them all a place in Jannah). While walking out of the masjid, how many would have thought that they had just offered their last salat and that they will soon be swept to sea?
We can try to sweep it under the rug as much as we want, but the fact remains that (as I’ve said before), our birth certificates don’t carry expiry dates. The `Asr I have just prayed or the Maghrib I’m about to offer (Insha-Allah) may very well be my final call to Allah (SW) before He calls me back.
Before leaving for a journey or prior to an exam, I know that I better take the extra minutes to prepare and do it well, for I won’t get another chance in the near future. But when offering my salat, I don’t even know if I’ll suddenly find myself in an unexpected journey - from which there is no turning back.
Isn’t it ironic that I tend to sacrifice that which will (hopefully) help me in the Hereafter - when it all really counts - in exchange for short-term concerns that won’t help one bit in the Hereafter, and may even turn out to be a disadvantage for me?
Man, I’m such a fool.
May Allah (SW) help me and all of us in streamlining our thoughts towards Allah during our salat, and help us make each of our prayers as if they’re our last. Ameen.
Desirous to drive large, shiny cars,

REMEMBER: You will be driven one day as a horizontal passenger.
Wild and crazy over expensive clothes,

REMEMBER: You will end up in just a 'KAFN.'
Recklessly sacrificing everything to construct beautiful homes and palatial mansions,

REMEMBER: the graveyard 'PIT' - one's real home.
Greedily devouring tasty dishes and all types of extravagant delicacies,

REMEMBER: one day YOU will be the meal for ants, worms and other insects.
Aspiring for fame, fortune, and bright lights.

REMEMBER: the awaiting darkness and loneliness in the grave.