Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

World’s Tiniest Teenager Wins Guinness World Record


Jyoti Amge of India has been recognized by Guinness Book of World Records as the world’s shortest woman. Jyoti was known as the world’s shortest teenager until she turned 18 this year. Guinness said in a statement Jyoti has grown less than one centimetre (0.4 inch) in the last two years and will not grow any taller due to a form of dwarfism called achondroplasia.

The teenager stands at 24.7 inches tall – 2.76 inches shorter than the 22-year-old American who had held the title since September. She weighs about 10 lbs.
[ Read More ]

Kampuni tano zaomba kujenga daraja Kigamboni


KAMPUNI tano zimejitokeza kuomba zabuni ya ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambazo moja kati ya hizo ndiyo itakayopewa dhamana ya ujenzi huo mara mchakato huo utakapokuwa umekamilika.

Akizungumza wakati wa kufungua zabuni hiyo Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ludovick Mrosso, alisema awali kampuni saba zilijitokeza kuomba, lakini mbili kati ya hizo, zilishindwa kuwasilisha mchanganuo wake.

“Tunashukuru kuwa mwitikio umekuwa mzuri, hivyo kinachohitajika kwa sasa ni kumpata mshindi mmoja kutoka katika kampuni hizi tano ili tuweze kumkabidhi jukumu la ujenzi wa daraja hilo linalotarajiwa kuwa chachu ya uchumi katika sekta ya usafirishaji,” alisema Mrosso.

Alizitaja kuwa ni Long Jian Road and Bridge, Sichuan Road and Bridge Group, China Communication Construction, China Railway Contract Eng Group ikishirikiana na China Major Bridge Eng, zote za China.

Mrosso alisema hatua iliyofikiwa ni ya kwanza kuelekea nyingine na kwamba kinachosubiriwa kwa sasa ni mchujo kwa makandarasi hao ili kumpata mmoja atakayekabidhiwa jukumu la ujenzi huo.

Alisema wanatarajia kuwa mkandarasi atakayepatikana, atajenga daraja hilo kwa ufanisi na hivyo kumaliza kiu ya muda mrefu ya kuwepo kwa daraja hilo linalotarajiwa kuwa kiunganishi kizuri kwa wakazi wa Kigamboni.

Aidha, alisema ujenzi wa Daraja la Kigamboni ni mradi mkubwa kwa NSSF kusimamia katika kutoa huduma bora kwa jamii.
[ Read More ]

SIKU YA UKIMWI DUNIANI:MASHINE ZA KUNYOLEA NYWELE HATARI


      Wakati watanzania wakiungana na watu mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya UKIMWI duniani Aids Week in Review linaandika:Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii, imesema spiriti inayotumiwa katika mashine za kunyolea na vifaa vya kutengenezea kucha katika saluni za kike na kiume nchini Tanzania, haziui virusi vya Ukimwi.


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hadji Mponda pamoja na kutoa kauli hiyo alisema njia pekee ya kuwa salama wakati wa kutumia vifaa vya saluni ni kuvitakasa(sterilization).

Alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Lucy Owenya (Chadema), aliyetaka kufahamu kauli ya Serikali juu ya matumizi ya vifaa vya saluni na uhusiano katika maambukizi ya Ukimwi na kamaspiriti zinasaidia kuua wadudu vikiwemo virusi vya Ukimwi. 

Alisema ili kuepuka uwezekano wa kutokea kwa maambukizi,wenye saluni na wanaokwenda katika saluni hizo waepuke kuchangia matumizi ya vifaa vyenye ncha kali.

Pia vifaa vyenye ncha kali vinapotumika kwa zaidi ya mtu mmoja ni vema vikatakaswa au kuua vijidudu kwa dawa.
[ Read More ]

WORLD AIDS DAY.Never give up.





Started in 1988, World AIDS Day is not just about raising money, but also about increasing awareness, fighting prejudice and improving education.  World AIDS Day is important in reminding people that HIV has not gone away, and that there are many things still to be done.



[ Read More ]

Home&Away: Cassie discovers she's HIV positive!

[ Read More ]

Aishwarya Rai-Bachchan Delivers Baby Girl!



Aishwarya Rai-Bachchan and Abishek Bachchan are proud parents of a baby girl born two days ago. Below is what Grandpa Amitabh Bachchan had to say about his grand daughter on his blog:
“The soft innocence of nature rests in my arms, oblivious of what else happens around her. Occasionally she opens her large and what looks now to be eyes of the lighter hue, which those that have dealt with similar, know shall change with time. Often the gentlest of smiles quiver across her pouted upper lip, the shut eyes bringing expression through the brows and the settling down to that dream she must dream. Her head covered in the littlest of head gear she will ever adorn, snuggles into her mini quilt of varied colors dominated by the pink softness of its material.
As I look down upon her I bring myself back to the visual when I had placed her Father in just condition into my Father’s hands, to be heralded into our home. I stare at her in silence. She reciprocates in similar vein. It is too delicate a moment. I am unaccustomed to such delicate state. Should I shake my arms cradle like to give comfort, or maybe simply remain still as family cameras and members gather around. The ladies about, ogle with baby like sounds intermittently, and deliver diverse opinions on who she resembles. There are animated conversations of how this state of delivery was reached, in some intricate terminology and detail. These words are new to me. I have not heard them. Or perhaps not heard them often enough to know them. After a pregnant pause it is time for her to be airlifted from within my arms. I give this angelic face a prolonged look …
Dad ! I hold the 9th Bachchan in my hands .. this family that you started .. !!
Amitabh, Ajitabh, Shweta, Nilima, Namrata, Abhishek, Naina, Bhim and now .. this beauty, unnamed so far … I hope you and Ma look upon us from above and bless us and your latest addition. To carry forward what then may have seemed a somewhat limited expectation. The tradition continues and may it prosper by your love and your aashirvaad.
It has been a tiring day for all, especially the Mother, who has shown exceptional strength and courage. It has been a day of great joy and combined happiness. It has been a day of immense emotion. Tears of joy have erupted among all that were from family and about Aishwarya all along. On occasion they have tried desperately to occupy mine as well. But as the ‘official’ camera recorder of the event I have secretly dropped a few behind the eyes of the lens that I hold. These are rare moments and rare reactions.
A new life a new generation has begun . . . ”
Visit Amitabh Bachchan’s blog for the rest of what he has to say.
[ Read More ]

HAPPY BIRTHDAY MY LOVELY MAMA.



ENJOY YOUR DAY WITH YOUR SURPRISE GIFT.***LOVE YOU MORE MAMA.***

[ Read More ]

PRINCE CHARLES NA DUCHESS OF CONWALL WALIVYOTEMBELEA ZANZIBAR LEO.




























like this

















Picha kwa hisani ya Othman Mapara blog









































[ Read More ]