Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Makaazi ya Kanali Gaddafi yashambuliwa

Ndege zake za kijeshi, zimeshambulia makaazi ya Kanali Gaddafi mjini Tripoli na kusababisha uharibifu mkubwa kwenye jengo moja.
Viongozi wa muugano wa majeshi hayo wanasema jengo lililoharibiwa lilikuwa linatumika kuamrisha majeshi ya Libya yanayopigana na waasi.
Waandishi wa habari wametembezwa kwenye eneo hilo lakini hakuna taarifa ikiwa maafa yalitokea baada ya shambulizi hilo.
Naibu mkuu wa jeshi la wanamaji wa marekani Bill Gortney anasema mashubulizi hayo hayaja mlenga kanali Gaddafi.
vifaru vya serikali vinateketea
Televisheni ya Libya imeonesha maiti na magari ya kijeshi yaliyoteketea kwenye barabara ya kuelekea mji wa Benghazi, shina la wapinzani wa serikali
Msemaji wa serikali ameeleza kuwa watu 64 wameuwawa katika mashambulio yaliyofanywa na mataifa ya magharibi, lakini hakuna njia ya kuthibitisha taarifa hiyo.
Awali afisa mkuu wa jeshi la Marekani, , Mike Mullen, alisema ndege kutoka Qatar zinapelekwa huko, kuwa tayari kushiriki katika operesheni dhidi ya Libya, na nchi nyengine piya zimetoa ahadi kusaidia.
Adimeri Mullen alieleza kuwa agizo la Umoja wa Mataifa, la kuzuwia ndege za serikali kuruka katika anga ya Libya, sasa limetekelezwa, na majeshi ya Kanali Gaddafi, katika mji wa Benghazi, unaodhibitiwa na wapinzani, sasa hayawezi kusonga mbele.
Alisema hakuona taarifa, kuwa raia wameuwawa.
mpinzani na bunduki yake karibu na Benghazi
mpinzani na bunduki yake karibu na Benghazi
Urusi imetoa wito kwa Uingereza, Ufaransa na Marekani, ziache kushambulia maeneo yasiyokuwa ya kijeshi, na kwamba raia wameshambuliwa.
Mkuu wa Jumuiya ya Kiarabu, Amr Moussa, amesema mashambulio yamekwenda mbali, kushinda lile lengo la kulinda tu anga ya Libya, ambavyo ndivo jumuiya yake ilivotaka.
[ Read More ]

Uzinduzi Rasmi wa Flaviana Matata Foundation ni May 21st, 2011

 May 21st is always a special and very difficult day for me, my family and the families of thousands who lost their loved ones on that fateful day in 1996, when MV Bukoba sank in Lake Victoria. On that day I lost my mother, but never lost hope. I knew a day would come and will be able to cherish her memory and do something special to honor her life and the life she game me.

I am happy to announce that on May 21st, 2011 I will officially launch the FLAVIANA MATATA FOUNDATION in the honor of my beloved mother. As a former Miss Universe Tanzania, and currently, a model based in New York and Europe, I would like to use my fame to help the most vulnerable in our society… young women and kids.

 FLAVIANA MATATA FOUNDATION, a Tanzanian registered nonprofit organization, will give leaders in health, business, government and communities globally the opportunity to be a part of a movement that relies on participation, collaboration and action to reverse child pregnancy rates, and empowering of young women and kids and the like. I consider this to be my greatest achievement, and gives me joy to see that my mother’s memory has a chance to live forever. I hope this initiative will bring happiness and joy to many that will be touched directly and indirectly by FLAVIANA MATATA FOUNDATION. Please reserve this date (May 21st, 2011) to come and join me in the launch of this very important initiative. Venue, time, and special guests will be announced at a later stage.THANK YOU


Regards


Flaviana Matata(Lavvy)
[ Read More ]

Mama Mwanamwema Shein Akutana na Wake za Mambozi wa Afrika Ikulu Zanzibar

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (Kulia)akizungumza na Mwenyekiti wa jumuiya ya wake za mabalozi wa afrika waliopo Tanzania Bi Aletha Isack Ikulu Mjini Zanzibar Jana

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akizungumza na wake za mabalozi ambao ni wanachama wa chama cha wake za Mabalozi Afrika.

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akonyesha jambo kwa wake za Mabalozi wa afrika ikulu mjini zanzibar jana.
Picha na Yussuf Simai-MAELEZO,Zanzibar
[ Read More ]

ZANZIBAR IMEJIANDAA VIPI NA TSUNAMI?

Hivi karibuni tumeshuhudia katika vyombo vya habari madhara makubwa yaliyotokea Japan kutokana na mtetemeko mkubwa wa Ardhi pamoja na Tsunami. Maelfu ya watu wamefariki na wengine bado hawajulikani hatima yao kutokana na mawimbi makubwa yenye kina cha mita kumi kufika ardhini kwa kasi na kuharibu kila kilichosimama.

Madhara makubwa yametokea katika mji wa Sendai kaskazini mashariki mwa Japan na sehemu nyingi ambazo zipo kando kando na bahari zimeathirika vibaya sana kutokana na Tsunami. Waziri Mkuu wa Japan ameliweka tukio hili sawa na yaliyotokea takriban miaka 60 iliyopita Vita vya pili vya Dunia.

Japan ni nchi iliyoendelea. Iliwahi kukumbwa na Tsunami 1920 ambapo watu 120,000.00 walifariki. Japan ni nchi iliyopo katika mkanda wa ardhi ambao hutokea matetemeko mengi ya Ardhi na imejiandaa kadri ya uwezo wake kukabiliana na majanga ya aina hii.

Licha ya ukubwa wa mtetemeko katika kipimo cha Richter (Richter scale) 8.9, hatukuona nyumba zilizoanguka kutokana na mtetemeko (zilizoanguka zilikumbwa na dhoruba ya tsunami) wakati majuzi tu New Zealand ilipata mtetemeko ambao ni maradufu kulinganisha na Japan lakini nyumba nyingi ziliharibiwa. Japan inajenga nyumba zake quake proof (tayari zina hifadhi na mitetemeko)

Zanzibar si mgeni wa majanga lakini nina imani Mola wetu anatupa yetu kutokana na hali zetu ‘dhooful haal’. Mwaka 2009 tulipata mtihani wa kuzama meli Mv Fatih wakati ikijaribu kutia nanga bandarini. Meli ilichukua muda mrefu kuopolewa tena kwa msaada kutoka Tanganyika. Watu sita walifariki. Tume iliundwa na ikaleta ripoti. Mapendekezo yalifanyiwa kazi Kwani hatukuwa na Tagi lenye winchi nzito ya kuweza kuibeba Meli na Jitihada nyingi za kienyeji zilizokosa utaalamu zilijaribiwa na kufeli.

Mwaka 2009 huo kuna meli mbili pacha zilikuwa matengezoni Mtoni Mv Aziza 1+2, nazo zilishika moto. Vikosi vya zimamoto viliitwa kudhibiti hali kwa kuwa Meli zilikuwa karibu na ufukwe. Je ikitokea Meli kuwaka na iko nangani tuna kifaa chochote cha kuweza kuzima moto baharini?

Mwaka 2005 kulitokea mvua kubwa za El Nino. Maeneo mengi yalijaa maji na nyumba nyingi kuharibika katika maeneo ya Kwahani, Sebulani, Kwamtipura na kadhalika.

Mawimbi ya Tsunami yanaweza kutembea masafa marefu na kwa kasi na kuweza kuathiri sehemu nyengine ambazo hazipati mtetemeko wa lakini zinaweza kupata athari za Tsunami kama ilivyotokea mwaka 2006 Kusini mashariki mwa Asia ambapo mawimbi yaliweza kufika mpaka fukwe za Somalia, Kenya na kadhalika.

Ulimwengu hutoa tahadhari ‘alert’ ya kujuulisha kuwepo kwa tsunami. Ingawa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi wanaoishi katika mwambao wa Bahari ya Hindi kuondoa wasiwasi wa kukumbwa na hali hiyo, hivyo wanapaswa kuendelea na shughuli zao ila suala la kimsingi endapo hali hii itatokea wananchi tayari wameshaelimishwa (awareness) nini wanatakiwa kufanya? Je vipi idara yetu ya hali ya hewa ina utaratibu wowote wa kupokea hizi tahadhari na huzifanyia kazi angalau kuwatahadharisha wananchi, wavuvi, wasafiri ambao hutumia bahari?

Kuna mazoezi yoyote yaliyowahi kufanyika kama “drill” ambayo yangelioneshwa kwa televisheni zetu vipi mwananchi akiwa baharini, nchi kavu, kando kando mwa bahari anatakiwa afanye? Japan kukitokea mtetemko, kila mwananchi anajua nini afanye vipi ajipange katika kuikabili hali hii.Kuna matangazo yoyote au vipeperushi vilivyoandaliwa ambavyo vinatoa taarifa na maelekezo likitokea janga la tsunami nini wananchi wafanye?

Na vipi hiyo taarifa ya tahadhari itaweza kutolewa kwa kutumia njia gani, redio, Tv, simu, mdomo kwa mdomo pasipo kuleta kuhamanika (panic) na kitahanani kwa wananchi na kwa muda wa haraka na hapa ndipo panapohitaji maandalizi na mipangilio.

Zanzibar ni nchi masikini. Lakini umasikini wetu usiwe kigezo cha kukosa maandalizi angalau kwa kadri ya uwezo wote na hili tusisubiri wafadhili waje kutusaidia ili kukitokea majanga au maafa tuweze kujipanga.Umasikini wetu usiwe sababu ya kutukwaza katika mambo ambayo yataweza kuokoa maisha ya watu hasa ukizingatia mazingira ya kisiwa chetu jinsi kilivyo takriban sawa na usawa wa bahari kwa maeneo mengi. Wimbi la mita tano tu likija kwa nguvu ya tsunami basi nusu ya mji wa Zanzibar upo majini. Madhara yake ni Allah pekee anayejua.

Tusisubiri yatokee kisha tuanze kuunda tume, tuwe ‘proactive’ wabunifu kabla ya majanga na maafa na huku ndiko kujiandaa tunakoshauri vyombo husika kama Tume ya Maafa na kadhalika hasa kwa majanga ambayo yanaweza kutukabili katika maeneo yetu kutokana na hali halisi ya kiulimwengu na mabadiliko ya hali ya hewa.

Ndiyo tuna matatizo mengi na hili la tsunami si la kutuumiza vichwa kama baadhi yetu wakatakavyotumia hoja ya kudadisi haja ya kujiandaa na tukio hili la ‘kufikirika’ Ila msemo wetu wa Kiswahili unatukumbusha ‘mwenzako akinyolewa...

Tumuombe Mola wetu atuepushe na majanga na maafa kwa rehma na nguvu zake Subhaana.

source;othman  mapara.

[ Read More ]

Jennifer Lopez - On The Floor ft. Pitbull

[ Read More ]

PRAY FOR JAPAN & ALL THE OTHER COUNTRIES IN TROUBLE.


  • Towns burn furiously as devastation continues into the night
  • Quake now said to have measured 9.0 on Richter scale
  • Magnitude 6.6 aftershock causes buildings in Tokyo to sway
  • Death toll expected to exceed 1,000 with many more injured
  • Ship carrying 100 passengers swept away by tsunami
  • Four million people without power in Tokyo alone 

More than 1,000 people are feared to have died after the sixth largest earthquake in recorded history devastated Japan.
The massive earthquake - 8,000 times stronger than the one that hit New Zealand last month - sent a catastrophic 33 foot tsunami hurtling across the PacifiAlight: As night fell across the country, the fires gave the sky an orange glow as they continued to burn among the rubble of destroyed buildings
Alight: As night fell across the country, the fires gave the sky an orange glow as they continued to burn among the rubble of destroyed buildings
White hot: Two fires glow like molten lava amid the devastated houses in Yamada town
White hot: Two fires glow like molten lava amid the devastated houses in Yamada town
Last night, huge fires burned unabated across large parts of the country as damaged oil refineries and gas works billowed black smoke into the sky.
Half the country was understood to be without power, with four million homes in Tokyo alone being cut off, while the army has been deployed to the quake-hit areas to help relief efforts.
However those relief efforts were hampered by at least 50 reported aftershocks, including a 6.6 magnitude tremor which hit Tokyo and caused already damaged buildings to shake further.
Elsewhere, two high-speed bullet trains were missing alongside a cruise ship carrying 100 passengers that was swept away when the wave hit. One of the trains was reported to be carrying 400 passengers.
A state of emergency was declared at a nuclear power plant in Fukushima after the quake caused the cooling system to fail. 
Tonight, the Japanese government confirmed that they would release radioactive vapor to ease high pressure that had built up inside the reactor.
Billowing: A plume of black smoke fills the sky as a huge fire burns at the oil refinery at Chilba City
Billowing: A plume of black smoke fills the sky as a huge fire burns at the oil refinery at Chilba City
Stranded: Hundreds of people were forced to make themselves at home on the floor of the Haneda Airport following the earthquake and tsunami
Stranded: Hundreds of people were forced to make themselves at home on the floor of the Haneda Airport following the earthquake and tsunami
Split down the middle: Workers inspect a section of road that was torn in half by the force of the earthquake
Split down the middle: Workers inspect a section of road that was torn in half by the force of the earthquake
Between 200 and 300 bodies have been found in Sendai city, while another 151 were confirmed killed, with 547 missing. Police also said 798 people were injured.
The tsunami struck Sendai, which has a population of about one million, on the north east coast  early yesterday morning.
It followed the earthquake which hit at 2.46pm local time (0546 GMT) at a depth of six miles, about 80 miles off the eastern coast, Japan’s meteorological agency said. The area is 240 miles (380km) north east of Tokyo.
Japan is better prepared than anywhere else in the world, with its buildings specifically designed to withstand earthquakes, but many were simply swept away.
Buried: The mud the tsunami dredged up left countless cars submerged and tossed others around, some with their drivers and passengers still inside
Buried: The mud the tsunami dredged up left countless cars submerged and tossed others around, some with their drivers and passengers still inside
Derailed: Volunteers struggle through debris that litters railway lines in Japan, where bullet trains were missing with hundreds of passengers feared dead
Derailed: Volunteers struggle through debris that litters railway lines in Japan, where bullet trains were missing with hundreds of passengers feared dead
And, with the death toll rising, it is feared thousands more are at risk as the true scale of the devastation, which could total £9billion, becomes apparent.
Kesennuma, a town of 70,000 people in Miyagi, burned furiously into the night with no apparent hope of being extinguished, Japan's public broadcaster NHK said.
Upturned and partially submerged vehicles were seen bobbing in the water, some with drivers and passengers inside.
Buildings, including a hotel with 100 guests inside, collapsed and tens of thousands ran from office tower blocks into the streets as the earth beneath them shook. One said it was as if they ‘were standing on the deck of a ship in a storm’.
Utter devastation: Flames engulf houses in Sendai, Miyagi, after they were swallowed up by enormous waves that swept through Japan after a massive earthquake this morning
Utter devastation: Flames engulf houses in Sendai, Miyagi, after they were swallowed up by enormous waves that swept through Japan after a massive earthquake this morning
Terrifying: The tsunami slams into the shore line along Iwanuma in northern Japan after the 8.9 earthquake struck today
Terrifying: The tsunami slams into the shoreline along Iwanuma in northern Japan after the 8.9 earthquake struck today
Overwhelmed: The tsunami engulfs a residential area in Natori, Miyagi
Overwhelmed: The tsunami engulfs a residential area in Natori, Miyagi
Cars trying to escape the wall of mud and water were picked up and carried along. Some disappeared beneath while others were tossed and turned in the waters. 
More than 300 homes were washed away in Ofunato City alone. Television footage showed mangled debris, uprooted trees, upturned cars and shattered timber littering streets. 
Hundreds of Britons are believed to be in the country. Many have spoken of the terrifying moment that the quake struck.
Jide Obandina, a 29-year-old teacher originally from Shropshire and now living in Tokyo, told how he fled a gym in the skyscraper district of Shinjuku.
‘It started getting intense and I got up and started walking out briskly,’ he said. ‘About halfway down the corridor it kicked in, there was a roaring noise and stuff was falling all around me. That was when I ran for my life.
Cataclysmic: A whirlpool formed by tsunami waves at a port in Oarai, in the state of Ibaraki
Cataclysmic: A small fishing vessel is dragged towards the vortex of a whirlpool formed by tsunami waves at a port in Oarai, in the state of Ibaraki
Washed away: These cars were about to be shipped from Hitachinaka City but instead were washed away by the flood
Washed away: These cars were about to be shipped from Hitachinaka City but instead were washed away by the flood
‘There is nothing more terrifying than being surrounded by huge buildings that could come down on your head. You could hear them creak and groan. It was terrifying.’
Among Britons trying to reach loved ones, which proved difficult due to phone line disruption, were relatives of graduates on the Japan Exchange and Teaching (Jet) programme. A co-ordinator at the London office said between 300 and 400 Britons were in Japan.
English teacher Jenny Tamura Spragg, 33, described how the quake hit in the middle of a school lesson with a class full of 14-year-old pupils.
As she hid under a desk she thought: 'This is it, the end.'
Mrs Tamura Spragg, originally from Cardiff, said: 'The shakes started off slowly, but progressively got stronger.
 'The children were in a desperate panic when we decided to tell them to hide under their desks. Some children were crying.
'When I finally got under a desk myself, I had time to think while the continuous tremors seemed to go on forever.
'The thought 'This is it, the end' did cross my mind as a potential reality.
'Aftershocks were quite severe for a few hours after.'
Mrs Tamura Spragg, who lives in Kumagaya, Saitama, and has been in Japan for 10 years, continued: 'People here are very calm - very Japanese, so to speak.'
Japanese people have also spoke of their terror when the earthquake and tsunami struck.
Osamu Akiya, 46, was working at his Tokyo office when the quake hit.
It sent bookshelves and computers crashing to the floor, and cracks appeared in the walls.
‘I’ve been through many earthquakes, but I’ve never felt anything like this,’ he said. 
Closed: Sendai Airport in north-east Japan was one of the first places to be swamped by the tsunami that raced inland following the quake 
Closed: Sendai Airport in north-east Japan was one of the first places to be swamped by the tsunami that raced inland following the quake
Eruption: Flames rise from an oil refinery iin Ichihara, Chiba
Eruption: Flames rise from an oil refinery iin Ichihara, Chiba
A woman with a baby told television crews: ‘I was unable stay on my feet because of the violent shaking. The aftershocks gave us no reprieve. Then the tsunamis came when we tried to run for cover. It was the strongest quake I experienced.’ 
'I was terrified and I'm still frightened,' said Hidekatsu Hata, 36, manager of a Chinese noodle restaurant in Tokyo's Akasaka area. 'I've never experienced such a big quake before.'
Asagi Machida, a 27-year-old web designer in Tokyo, was walking near a coffee shop when the earthquake hit. 
'The images from the New Zealand earthquake are still fresh in my mind so I was really scared. I couldn't believe such a big earthquake was happening in Tokyo.'
Major roads to the worst-hit coastal areas were severely damaged and communications, including telephone lines, were snapped. 
Train services in North-East Japan and in Tokyo, which normally serve 10million people a day, were also suspended, leaving many passengers stranded in stations or roaming the streets. 
Seismic shake: A technician at the French National Seism Survey Institute points at a graph pinpointing the moment the earthquake struck
Seismic shake: A technician at the French National Seism Survey Institute points at a graph pinpointing the moment the earthquake struck
This graphic, issued by the National Oceanic and Atmospheric Administration, shows the height of waves from the tsunami as it travelled across the Pacific basin
This graphic, issued by the National Oceanic and Atmospheric Administration, shows the height of waves from the tsunami as it travelled across the Pacific basin
Detailed map locating damage caused by a powerful earthquake which struck off Japan on Friday.
Detailed map locating damage caused by a powerful earthquake which struck off Japan on Friday.

THE WORST QUAKES IN HISTORY

1. Valdivia, Chile, March 22, 1960 (magnitude of 9.5)
2. Prince William Sound, Alaska, USA, March 27, 1964 (9.2)
3. Sumatra, Indonesia, December 26, 2004 (9.1)
4. Kamchatka, Russia, November 4, 1952 (9.0)
5. Arica, Chile (then Peru), August 13, 1868 (9.0)
Dramatic footage showed the surge washing away cars, a bridge and buildings at the mouth of the Hirose-gawa River, which flows through the centre of Sendai, while a roof caved in at a graduation ceremony in Tokyo.
The large ship swept away by the tsunami rammed directly into a breakwater in Kesennuma city in the Miyagi region, according to footage on public broadcaster NHK, and numerous people are believed to have been injured.
Prime Minister David Cameron said the Japanese earthquake was a 'terrible reminder of the destructive power of nature' and pledged to help the country.
He added: 'Everyone should be thinking of the country and its people and I have asked immediately that our Government look at what we can do to help.'
The Queen sent a message to Emperor Akihito, saying: ‘I was saddened to hear of the tragic loss of life caused by the earthquake which has struck North-East Japan today.’
And American President Barack Obama also pledged U.S assistance to the country after what he called a 'catastrophic' disaster. 
'Our hearts go out to our friends in Japan and across the region, and we're going to stand with them as they recover and rebuild from this tragedy,' the President said during a White House news conference.
Destroyed: Resident clamber through the wreckage of houses in Iwaki, Fukushima which have been reduced to rubble by the earthquake
Destroyed: Resident clamber through the wreckage of houses in Iwaki, Fukushima, which have been reduced to rubble by the earthquake
Giant fireballs rise from a burning oil refinery in Ichihara, Chiba Prefecture (state) after Japan was struck by a strong earthquake off its northeastern coast Friday, March 11, 2011.
Giant fireballs rise from a burning oil refinery in Ichihara, Chiba Prefecture (state) after Japan was struck by a strong earthquake off its northeastern coast Friday, March 11, 2011.
Wave of destruction: Giant fireballs rise from an oil refinery in Ichihara, Chiba, that was shaken by the tremors from the catastrophe
Tide: Mud and debris caught up in the encroaching tsunami wave that crashed into the Japanese mainland rushes through the tarmac carpark at Sendai airport today
Muddy tide: Mud and debris caught up in the encroaching tsunami wave that crashed into the Japanese mainland rushes through the tarmac car park at Sendai Airport today
Speaking on national television, Japanese prime minister Naoto Kan said: 'I offer my deepest sympathy to the people who have suffered the disaster.
Creeping dread: In this image from Japan's NHK TV video footage, houses are washed away by tsunami in Sendai as the waves power ashore
Creeping dread: In this image from Japan's NHK TV video footage, houses in Sendai are washed away by the tsunami as the waves power ashore

‘Regarding our nuclear facilities, some of the plants have stopped automatically but so far no radioactive material has been confirmed to have been leaked to the outside.
‘Given the situation an emergency disaster response has been set up with myself as the head
‘We will secure the safety of the people of Japan. We ask the people of Japan to continue to be cautious and vigilant. We ask the people of Japan to react calmly.'
Sendai airport, north of Tokyo, was inundated with cars, trucks and buses and thick mud covered its runways.
Tokyo’s main airport was closed. A large section of the ceiling at Ibaraki airport, about 50 miles from Tokyo, fell to the floor with a powerful crash.
UK airlines cancelled flights to the Japanese capital yesterday but London-bound BA flights from Hareda and Narita landed safely back in the UK, having left before the earthquake struck.
Virgin said its daily London-Tokyo service would not operate today or tomorrow and that a decision on when flights to Japan would resume would be made over the weekend.
Thirty international search and rescue teams stand ready to go to Japan to provide assistance following the earthquake, the United Nations said.
'We stand ready to assist as usual in such cases,' Elisabeth Byrs of the U.N. Office for the Coordination of Humanitarian Assistance told Reuters in Geneva.
'Thirty international search and rescue teams are on alert and monitoring the situation and stand ready to assist if necessary.'
Yurikamome train passengers walk on the elevated track towards Shiodome Station in Tokyo's Shiodome district

Streets are flooded after a tsunami and earthquake in Yamamoto town, Miyagi Prefecture, March 11, 2011.
The impact of the quake is shown (left) while Yurikamome train passengers walk on the elevated track towards Shiodome Station in Tokyo's Shiodome district

Earthquakes are common in Japan, one of the world's most seismically active areas. The country accounts for about 20 percent of the world's earthquakes of magnitude 6 or greater and on average, an earthquake occurs every 5 minutes.
But yesterday's quake surpasses the Great Kanto quake of September 1, 1923, which had a magnitude of 7.9 and killed more than 140,000 people in the Tokyo area. Seismologists had said another such quake could strike the city any time.
A 1995 quake in Kobe caused $100 billion in damage and was the most expensive natural disaster in history.
[ Read More ]