Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Orijino komedi na uchawi na wanga

[ Read More ]

WAZAZI WA MTOTO ALIYEZALIWA MZUNGU UINGEREZA KUPIMWA DNA

WAZAZI wa mtoto aliyezaliwa mzungu nchini Uingereza wamekubali uamuzi wa wataalamu wa vina saba kumfanyia uchunguzi mtoto huyo. Habari kutoka nchini humo zimeeleza kuwa wazazi hao Benjamin na Angela wamekubali mtoto huyo wa kike afanyiwe uchunuzizaidi ili kuibaini sababu za kuzaliwa akiwa katika hali kama hiyo. Mtaalamu wa vina saba kutoka Chuo Kikuu cha London Dkt.Mark Thomas amesema kuwa ana

[ Read More ]

BREKING NYUUUUZZZZZ: PROFESA MWAIKUSA AUWAWA JIJINI DAR

Marehemu ProfesaJwani Timothy Mwaikusa Habari zinasema Wakili na Mwanasheria nguli na Mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof. Jwani Timothy Mwaikusa amefariki dunia baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akirejea nyumbani kwake maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam. Prof. Mwaikusa pia alifanya kazi katika mahakama ya kimataifa ya I.C.T.R Arusha na

[ Read More ]

RAIS KIKWETE AMTEUA RASMI DR GHALIB BILAL KUWA MGOMBEA MWENZA

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha Mapinduzi CCM rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Ghalib Bilal kutoka Zanzibar kuwa mgombea mwenza kupitia CCM kwenye uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu na kupelekea ukumbi mzima wa Chimwaga kulipukwa na mayowe ya vifijo na ndere

[ Read More ]

WASIFU WA DR MOHAMED ALI SHEIN

Dk. Ali Mohamed Shein alizaliwa Machi 13, 1948 katika Kijiji cha Chokocho kilichoko Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Dk Shein ameoa, ana watoto na wajukuu.ELIMUMsingi na sekondariAlipata elimu yake ya msingi na sekondari kisiwani Unguja. Elimu ya msingi alisoma katika Shule ya Wavulana Gulioni kati ya mwaka 1956 na 1964 na alijiunga na Shule ya Sekondari Lumumba mwaka 1965 na kuhitimu mwaka

[ Read More ]

BREAKING NEWS......

NI DR MOHAMMED SHEIN, amechaguliwa kuwa mgombea Urais Zanzibar. Amepata kura 117, Bilal 54, Nahodha

[ Read More ]

Kinachoendelea Dodoma Usiku Huu: Shamsa Vuai Atupwa Nje!

Aliyekua Mgombea Urais wa Zanzibar ambaye pia ni Waziri kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akisalimia baadhi ya wanachama wa CCM mjini Dodoma muda mfupi kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM ambacho muda mfupi uliyopiuta umetoa jina lake kwenye mapmbano huo na kubaki kwa wagombea wawili kati ya Dr Shein na Dr Gharib Bilal

[ Read More ]

Komandoo Salmin Amour:Kwanini Ametua Dodoma?

RAIS wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Salmin Amour Juma (mbele) akisalimiana na wakazi wa Dodoma waliofika kumpokea yeye na Waziri Kiongozi wa Serikali ya Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha (nyuma) juzi. --Inasemwa, kuwa yapata miaka mitano sasa Komandoo Dr Salmin Amour, Rais Mstaafu wa Serikali ya Zanzibar hajapata kuhudhuria vikao vya chama chake, CCM. Kwamba Salmin Amour

[ Read More ]

Celine Dion -Think Twice.

Don't think I can't feel that there's something wrongYou've been the sweetest part of my life so longI look in your eyes, there's a distant lightAnd you and I know there'll be a storm tonightThis is getting seriousAre you thinking 'bout you or us(Refrain)Don't say what you're about to sayLook back before you leave my lifeBe sure before you close that doorBefore you roll those diceBaby think twiceBaby

[ Read More ]

Ngoma & Kidumbak.HOME SWEET HOME.

[ Read More ]

Bi Kidude & Culture Musical Club

[ Read More ]

Mike Tyson.....In The Holy City Of Madinah

Former boxing champion Mike Tyson, who embraced Islam while serving a prison sentence in the 1990s, is on his first visit to the Kingdom to perform Umrah. He arrived in the holy city of Madinah on Friday to perform prayers at the Prophet’s Mosq

[ Read More ]

ESPECIAL FOR MY MOTHER..i love you.miss you...

"Goodbye's (The Saddest Word)" Mamma You gave life to me Turned a baby into a lady Mamma All you had to offer Was the promise of a lifetime of love Now I know There is no other Love like a mother's love for her child And I know A love so complete Someday must leave Must say goodbye Goodbye's the saddest word I'll ever hear Goodbye's the last time I will hold you near Someday you'll say that

[ Read More ]

Asie kubali kushindwa si mshindani.

I Will stil love y

[ Read More ]