Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Jaribio La Mapinduzi Lazimwa Congo

Habari kutoka Kinshasa zinaeleza kuwa watu saba wameuawa baada ya kufanya jaribio la kumpindua Rais Joseph Kabila katika makazi yake. Watu hao waliuawa na walinzi wa Rais Kabila, kwa mujibu wa maelezo ya msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo. Mwandishi wetu Lubunga Bya'Ombe akiwa Kinshasa amethibitisha kumetokea taarifa hizo. Hata hivyo watu waliohusika bado hawajajulikana. Taarifa zaidi tutawaletea

[ Read More ]

The Academy Awards 2011 Red Carpet

Host of the night Anne Hathway Jennifer Lawrence Sandra Bullock One of my favourite, Jennifer Hudson Best Actress, Natalie Portman Stunning Haute Couture by Mila Kunis Hellen Bonham Carter  Penelope Cruz Scarlett Johansson Cate Blanchett  Nicole Kidman and Gywneth Paltrow.  Beautiful and elegant Celine Dion Michelle Williams Stunning Halle Berry Hilary Swank Reese Witherspoon Sharon

[ Read More ]

BC EXCLUSIVE: MANGE KIMAMBI’s TELL-IT-ALL INTERVIEW - BongoCelebrity

Kama wewe ni mfuatiliaji wa masuala ya watanzania mtandaoni,bila shaka utakubaliana nasi kwamba miongoni mwa mahali ambapo mengi hutokea na mengi huandikwa kama sio kujadiliwa basi mahali hapo ni katika blog inayokwenda kwa jina la U-turn. Ni blog ambayo ingawa haina umri mkubwa(ilianzishwa mwaka mmoja na nusu tu uliopita), tayari imefanikiwa kuwa chanzo muhimu cha habari,michapo,maoni,matukio

[ Read More ]

HARAMBEE YA "SAIDIA GONGO LA MBOTO" READING YAFANA

Tunapenda kutoa shukrani zetu za Dhati kwa watanzania wote  waishio  Reading UK walioweza Kuja Leo mchana Vincent  kuchangia wahangwa wa Gongo la Mboto  Tanzania. Kwa mda wa saa moja tumekusanya Jumla ya  pesa taslim Pounds £200 Pia tumekusanya Nguo nyingi kutoka kwa watu mbalimbali. Tafadhali Kumbuka bado hujachelewa kwa wakazi wa Reading ambao hawakuweza kufika leo mnaweza

[ Read More ]

JAMANI HUU UNYAMA UMEZIDI TENA....

Mtoto unamuona katika picha ni mwanafunzi wa shule ya msingi Buguruni anasoma darasa la tatu siku yanamkuta haya alikuwa na kosa la kutokuwa na daftari mwalimu anaeitwa Ms.Haule ni mdada tu akampiga na kumfinya kwa kumvuta ngozi ya macho na hicho ndio kilichotokea.Mtoto nyama ya macho ikamtoka nje,macho yakawa mekundu yanatoa tu machozi mtoto akawa kama kapoteza fahamu hata kusikia akawa hasikii.Jamani

[ Read More ]

TMH YAFANIKISHA STYLE MOTO MOTO YA MITINDO USIKU HUU

Mbunimu wa Mitindo,Khadija Mwanamboka  (kulia) akimkabidhi zawadi ya ua Mwanamitindo,Jamila Swai ambaye ni mmoja kati ya  waliofanikisha shughuli hiyo usiku huu katika hoteli ya Double Tree Hilton, Masaki jijini Dar. MC Taji Liundi akiwajibika. Mwanamitindo Jamila Swai akipita jukwaani.wadau. Ankal akiwa amejiachia na wadau waliohudhuria hafla hiyo pamoja na wanamitindo. Wadau

[ Read More ]