Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAHAFALI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR - ZANZIBAR UNIVERSITY

-
Rehema Mwinyi.




 Wahitimu wa somo la Law and Shariah wakitunukiwa Shahada ya digrii ya somo hilo,wakati wa mahafali ya nane katika Chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu,yaliyofanyika jana
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimpongeza Mtoto wake Asha Ali Mohamed Shein,wakati wa kutunukiwa Shahada ya Digrii ya Law & Shariah,katika mahfali ya nane,yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi katika majengo mojawapo ya Chuo kikuu cha Zanzibar alipohudhuria mahafali ya nane ya chuo hicho.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein akiongozana na wakuu wa Chuo cha Zanzibar alipohudhuria mahafali ya nane ya chuo hicho.


Baadhi ya wahitimu wa katika mahafali ya nane ya chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu,wakiwa katika maandamano wakati wa sherehe za mahafli yaliyofanyika chuoni hapo jana,na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa akiwemo,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.

Leave a Reply