Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

ITS OFFICAL KATE MIDDLETON MARRIES THE PRINCE

[ Read More ]

MAMBO YALIVYOKUWA HARUSINI LEO KULE UINGEREZA KATIKA HARUSI YA KIFAMLE

Heheheheheeh Mr.Bean nae alikuwepo ndani miongoni mwa waalikwa...nampenda huyu baba jamani Ilivyokuwa harusi ya Mjukuu wa malkia wa Uingereza,Prince William asubuhi ya leo.... Washangaaaji barabarani....wote hawa walikuwa wakisubiri kuona wanaopita na maharusi kwa ujumla...  Wakenya nao naona wanawakilisha heheheheeheheh namuona mama wa kikenya akiwa katinga vazi lake la kimasai na mbele

[ Read More ]

Death Can Be Round The Corner

I wake up every morning. Within the first 30 minutes of waking up, I’m checking my e-mail and browsing the net. It’s a routine. Before leaving for a journey, I know that I won’t get net access for a while, so I check my e-mail thoroughly and spend some extra time checking some stuff online, since I won’t be able to do so for the next little while. In the same way, I study throughout the semester

[ Read More ]

Death Can Be Round The Corner. Ponder Over Death

Desirous to drive large, shiny cars, REMEMBER: You will be driven one day as a horizontal passenger. Wild and crazy over expensive clothes,REMEMBER: You will end up in just a 'KAFN.' Recklessly sacrificing everything to construct beautiful homes and palatial mansions,REMEMBER: the graveyard 'PIT' - one's real home. Greedily devouring tasty dishes and all types of extravagant

[ Read More ]

Rubani aokoa abiria 109, ndege yatua kwenye majani

NI ajabu lakini kweli, unaweza kusema vyovyote unavyoweza, lakini mimi nasema, mwacheni Mungu aitwe Mungu. Nasema hivyo kwa sababu naamini kwamba, ndiye aliyewapa ujasiri marubani wa ndege ya United Airlines, Airbus 319 wakaweza kuiongoza ndege hadi ikatua kwa dharura baada ya mfumo WOTE wa utendaji wa ndege hiyo kufa wakati ikiwa angani dakika 20 baada ya kuruka katika uwanja wa ndege wa Louis

[ Read More ]

Buriani Bi Rahma Mshangama

Leo baada ya Salat ya  IJumaa, maiti ya Maremu Bi Rahma Mshangama ilisaliwa katika msikiti wa Ijumaa Mwembeshauri, mjini Unguja na baada ya hapo ilienda kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwereke nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Bi Rahma Mshangama alifariki jana katika hospitali ya MnaziMmoja mjini Zanzibar, Marehehemu Bi Ramha alizaliwa tarehe 21 Aprili 1961 Kikwajuni Mjini Zanzibar na kupata elimu

[ Read More ]

MAZIKO YA KATIBU WA WIZARA YA USTAWI WA JAMII, VIJANA WANAWAKE NA WATOTO.

                  Marehemu Rahma Mshangama enzi za uhai wake.  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia udongo katika kaburi la Marehemu Rahma Mshangama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa jamii,maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto, aliyezikwa jana katika makaburi ya mwanakwerekwe mjini

[ Read More ]

IS-HAK GRADUATES @ UNIVERSITY OF MYSORE.. MANY CONGRATS.

Is-hak akipata picha ya kumbukumbu mbele ya jengo la University of Mysore  Is-hak na wadau Charles na Hassan  Is-hak  na rafikiishakishak Ishak akipokea cheti cha kuhitimu shahada yake ya BCOM wanafunzi wa Bcom class 2011 wakipata picha ya kumbukumbu pamoja na wageni rasminbcom class 2011     Mdau Faresi Liymo na Ishak katika picha ya pamoja Class

[ Read More ]