Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAZIKO YA KATIBU WA WIZARA YA USTAWI WA JAMII, VIJANA WANAWAKE NA WATOTO.

-
Rehema Mwinyi.



                  Marehemu Rahma Mshangama enzi za uhai wake. 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia udongo katika kaburi la Marehemu Rahma Mshangama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa jamii,maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto, aliyezikwa jana katika makaburi ya mwanakwerekwe mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, (katikati) na Makamo wa Rais wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilali,(wapili kushoto) wakijumuika na waislamu wengine kumuombea dua Marehemu Rahma Mshangama,aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto, aliyezikwa jana katika makaburi ya mwanakwerekwe mjini Unguja.
Wananchi na waislamu wakiubeba mwili wa Marehemu Rahma Mshangama,aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa jamii,maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto,na kuzikwa makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, (wa nne kushoto) na Makamo wa Rais wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilali, (watatu kushoto) wakijumuika na waislamu wengine kumsalia Marehemu Rahma Mshangama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto, katika msikiti wa Mwembe Shauri Mjini Zanzibar jana.

Picha na Ramadhan Othman, Ofisi ya Rais Zanzibar.

Leave a Reply