Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Moto Wateketeza Soko Jingine Jijini Mbeya

-
Rehema Mwinyi.

Jiji la Mbeya liko kwenye taharuki hivi sasa kufuatia ajali ya moto unaoendelea kuwaka katika soko la Sido, ambako wafanyibiashara wa lililokuwa soko la Mwanjelwa walihamia baada ya soko hilo la awali kuungua.






Leave a Reply