Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Upakuzi wa Mizigo Ufukwe wa bahari ya Malindi Funguni.

-
Rehema Mwinyi.







Gari ya mizigo ikiwa imeingia ufukweni mwa bahari ya funguni ikipakia mbao zinazotoka katika jahazi wakati maji yakiwa yametoka, bandari hii hutumika kwa kushushia mizigo aina ya miti na mkaa kutoka Dar-es-Salaam, awali ushushaji wa mizigo ulikuwa ukitolewa juu baada ya ukuta wa bandari hii kuharibika kwa maji ya bahari inakuwa usumbufu wakati wa maji yakiwa yamejaa inakuwa shida uchukuzi wake.

Leave a Reply