Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

RAIS KIKWETE AKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU STEVEN KANUMBA KUTOA POLE KWA WAFIWA...!!!

-
Rehema Mwinyi.

 

 Rais Kikwete akiweka saini katika kitbu cha maombolezo leo alipofika nyumbani kwa Marehemu Steven Kanumba maeneo ya Sinza 'Vatican' kutoa pole na rambirambi. Rais ameto ubani wa shilingi milioni 10 kwa kifo hicho ambacho kimetingisha tasnia ya filamu ndani n nje ya nchi Rais Kikwete akiongea na wanakamati wa kamati ya msiba wa Steve Kanumba 
 Rais Kikwete akiwa nyumbani kwa marehemu mapema leo alipo enda kuhani msiba
  Rais Kikwete akitoa pole kwa dada wa marehemu Steve Kanumba na chini akiwafariji
   Rais Kikwete akiongea na wafiwa
  Rais Kikwete akimpa pole mdogo wake marehemu Steven Kanumba
Rais Kikwete akisalimiana na Dokta Sheni huku Millen Magesse na wasanii wengine wakiangalia
 Rais Kikwete akiwapa mkono wa pole wasanii wa tasnia ya filamu Tanzania

Picha kwa hisani ya Michuzi Blog

Leave a Reply