Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Harakati katika Soko la Mwanakwerekwe katika Ramadhani leo.

-
Rehema Mwinyi.




Harakati katika soko la Mwanakwerekwe zikiwa kama kawaida ikiwa leo ni mwezi misi rRamadhani hali sokoni hapo ikiwa y kawaidi bidhaa za futari bei ikiwa ya wastani fungu la majimbi, muhogo, viazi vikuu na maboga bei ya mwazo ni shilishi 1000 mna 2000. na Nazi zilikuwa zikiuzwa kati ya shilingi 500/= hadi 700/=.

Bei ya Ndizi mbichi chana moja huuzwa shilingi 2500/= na mkono wa Tembo ndizi moja huuzwa 1200/= na 3000/

Leave a Reply