Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SIKU TATU WA MWAKA KUHUSU TAFITI ZA SERA NA MAENDELEO WA REPOA DAR

-
Rehema Mwinyi.



 
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia washiriki wa mkutano wakati akifungua ramsi mkutano wa siku tatu wa mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, ulioanza leo April 3, 2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwa ukumbini humo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua ramsi mkutano wa siku tatu wa mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, ulioanza leo April 3, 2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Kunduchi Beach, kufungua ramsi mkutano wa siku tatu wa mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, ulioanza leo April 3, 2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba, akichangia wakati wa mkutano mkutano wa siku tatu wa mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, ulioanza leo April 3, 2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umefunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa siku tatu wa mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, baada ya kuufungua mkutano hio, ulioanza leo April 3, 2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam. Picha na OMR

Kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

 Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Pandu Ameir Kificho akitoka katika Ukumbi wa Baraza baada ya kuahirisha Kikao cha asubuhi, kwa ajili ya mapumziko na kurudi jioni kuendelea na kuchangia miswada iliowakilisha katika Kikao hicho.  
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akibadilisha mawazo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Omar Yussuf Mzee, wakitoka ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kikao cha asubuhi.
 Mwakilishi wa Donge na Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi Juma Ali Shamuhuna, akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Ferej,  
 Wajumbe wakibadilisha mawazo nje ya Ukumbi wa Baraza.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Makaazi Mustafa Aboud Jumbe akizungumza na Wajumbe wa Baraza baada ya kikao cha asubuhi kuahirishwa wakiwa katika viwanja vya Baraza, kushoto Mwanasheria wa Mkuu Zanzibar Othman Masoud na Mwakilishi wa MjiMkongwe Ismail Jussa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Mwakilishi wa Dimani Dk. Mwinyihaji Makame na Mwakilishi wa Bububu kulia Hussein Ibrahim Makungu (BHAA) wakitoka katika ukumbi wa baraza baada ya kuahirrishwa kwa kikoa cha asubuhi cha maswali na majibu na kujadili mswada wa Sheria ya Uundwaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Maji na Nishati. Zanzibar

Leave a Reply