Nakala ya kiingereza ya Kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kama
kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala
za
kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye
hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu
Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya
shillingi 25,000/= Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru mwandishi wa kitabu cha wasifu wake na kuwasihi wana taaluma na watanzania wengine kuandika vitabu ili historia ya nchi yetu isipotee. Rais Kikwete ameyasema hayo wakati akizindua kitabu chake kilichoandikwa na Profesa Julius Nyang'oro.
Rais Jakaya Kikwete akisaini Vitabu wal;ivyopewa wageni
mablimbali walioudhuria kwenye uzinduzi wa kitabu hicho
ikulu jijini
Dra es Salaa.Kushoto ni Waziri wa Michezo na Habari
na Vijana
na Utamaduni Emmanuel Nchimbi akichukua nakala ya kitabu
chake kilichosainiwa na Rais Jakaya Kikwete.katikati na Waziri Mkuu
Mstaafu Jaji Joseph warioba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba wakiongea
na Profesa Nyang'oro ambaye ndiye mwandishi wa kitabu cha Wasifu wa
JK wakati wa
uzinduzi wa kitabu hicho. Kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni na
Maendeleo ya Vijana Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Shukuru Kawambwa. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Bwana Beno Malisa akizungumza na
Miraji Kikwete kwenye uzinduzi wa Kitabu Cha Wasifu wa Jakaya Kikwete Ikulu jij
ini Dar es salaam.Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Wasifu wa
Maisha yake, akishuhudiwa na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mwandishi wa
kitabu hicho Profesa Julius Nyang'oro leo mchana Ikulu, Dar es salaamMtoto wa Rais Jakaya Kikwete Salama Kikwete naealikuwepo kwenye uzinduzi wa
kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kilichozinduliwa leo Ikulu Dar es salaam.
Nakala ya kiingereza ya Kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kama
kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala
za
kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye
hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu
Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya
shillingi 25,000/=
kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala
za
kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye
hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu
Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya
shillingi 25,000/=
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru mwandishi wa kitabu
cha wasifu wake na kuwasihi wana taaluma na
watanzania wengine kuandika
vitabu ili historia ya nchi yetu isipotee. Rais Kikwete
ameyasema hayo wakati akizindua kitabu chake kilichoandikwa
na Profesa Julius Nyang'oro.
Rais Jakaya Kikwete akisaini Vitabu wal;ivyopewa wageni
mablimbali walioudhuria kwenye uzinduzi wa kitabu hicho
ikulu jijini
Dra es Salaa.Kushoto ni Waziri wa Michezo na Habari
na Vijana
na Utamaduni Emmanuel Nchimbi akichukua nakala ya kitabu
chake kilichosainiwa na Rais Jakaya Kikwete.katikati na Waziri Mkuu
Mstaafu Jaji Joseph warioba
mablimbali walioudhuria kwenye uzinduzi wa kitabu hicho
ikulu jijini
Dra es Salaa.Kushoto ni Waziri wa Michezo na Habari
na Vijana
na Utamaduni Emmanuel Nchimbi akichukua nakala ya kitabu
chake kilichosainiwa na Rais Jakaya Kikwete.katikati na Waziri Mkuu
Mstaafu Jaji Joseph warioba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba wakiongea
na Profesa Nyang'oro ambaye ndiye mwandishi wa kitabu cha Wasifu wa
JK wakati wa
uzinduzi wa kitabu hicho. Kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni na
Maendeleo ya Vijana Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Shukuru Kawambwa.
Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba wakiongea
na Profesa Nyang'oro ambaye ndiye mwandishi wa kitabu cha Wasifu wa
JK wakati wa
uzinduzi wa kitabu hicho. Kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni na
Maendeleo ya Vijana Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Shukuru Kawambwa.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Bwana Beno Malisa akizungumza na
Miraji Kikwete kwenye uzinduzi wa Kitabu Cha Wasifu wa Jakaya Kikwete Ikulu jij
ini Dar es salaam.
Miraji Kikwete kwenye uzinduzi wa Kitabu Cha Wasifu wa Jakaya Kikwete Ikulu jij
ini Dar es salaam.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Wasifu wa
Maisha yake, akishuhudiwa na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mwandishi wa
kitabu hicho Profesa Julius Nyang'oro leo mchana Ikulu, Dar es salaam
Maisha yake, akishuhudiwa na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mwandishi wa
kitabu hicho Profesa Julius Nyang'oro leo mchana Ikulu, Dar es salaam
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Salama Kikwete naealikuwepo kwenye uzinduzi wa
kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kilichozinduliwa leo Ikulu Dar es salaam.
kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kilichozinduliwa leo Ikulu Dar es salaam.
KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa
hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
kiwanja cha Kisonge, Michezani.
hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
kiwanja cha Kisonge, Michezani.
BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya
Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha.
Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha.
WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria
sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo duniani
katika viwanja vya Kisonge Michezani
sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo duniani
katika viwanja vya Kisonge Michezani
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeanza ujenzi wa ukuta utaozunguka Uwanja wa Kimataifa Abeid Amani Karume wenye urefu wa kilomita 12.
Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Idara ya Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema ujenzi huo unafanyika chini ya Kampuni ya Sagea Satom ya Ufaransa, ambayo ndio iliyohusika katika upanuzi wa Njia ya kurukia ndege na kutulia hivi karibuni, ambapo tayari kazi hiyo imekamilika na kuruhusu ndege kubwa kutua nchini.
Alisema ujenzi wa ukuta utahusisha kilomita 10 utakuwa kwa kiwango cha zega na kilomita mbili utawekwa waya (senyenge) ili kuruhusu kuonekana vizuri kwa kiwanja hicho.
Alifahamisha kuwa, ujenzi huo unafadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ambapo hadi kukamilika kwake utagharimu shilingi bilioni tano na kazi ya ujenzi wa zege imeshaanza na kufikia kilomita tatu katika maeneo ya Mombasa na Kisauni.
Aidha alisema maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa ya upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutulia, Zanzibar imepata sifa kubwa kutoka kwa kampuni mbali mbali zinazotoa usafiri ndani na nje ya nchi.
Malik alieleza upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutilia imefikia kwa urefu kilomita 3022 kutoka kilomita 2462 za zamani na kufikia upana wa mita 45 kwa sasa, jambo ambalo limeongeza uwanja huo kuwa na hadhi ya kimataifa.
Hata hivyo, alisema sambamba na upanuzi huo lakini barabara yake (njia ya kurukia ndege na kutulia), iko imara zaidi katika viwango vya kimataifa hadi kufikia PCN 61, ambayo inauwezo wa kuhimili vishindo vya ndege za aina mbali mbali.
Mkurugenzi huyo, alisema hivi sasa kuna maombi ya kampuni tatu za mashirika ya ndege, ambazo zimepeleka maombi ya kuja kuangalia uwanja huo ili kuweza kuleta ndege zao Zanzibar, ambapo miongoni mwa kampuni hizo ni Shirika la Oman Air na Kampuni ya Emirates.
JENGO la kisasa la abiria katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, utaanza Januari mwakani ambao utagharimu dola za Marekani milioni 70.4 hadi kukamilika kwake.
Mkurugenzi wa Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili, mjini hapa amesema ujenzi huo utaanza mapema mwezi ujao na utachukuwa miaka mitatu hadi kukamilika kwake, ambao utagharimu Dola za Marekani milioni 70.4.
Alisema jengo hilo litajengwa na kampuni ya Beijing Enginering Construction Group (BECG) ya China ambayo imeshinda zabuni ya ujenzi huo.
Alieleza hatua za awali za matayarisho zimeshafanyika za kupima udongo na hivi sasa kazi inayoendelea ni kuingiza vifaa vya ujenzi nchini ili kazi hiyo iweze kuanza mwezi ujao.
Aidha alifahamisha kuwa, ujenzi huo pia utahusisha barabara katika eneo la jengo hilo sambamba na kuweka maeneo maalum ya maegesho ya vyombo vya moto, ili kuweka haiba nzuri ya muonekano wake.
Ujenzi wa jengo jipya la kisasa la abiria linajengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar baada ya kupata fedha za mkopo nafuu kutoka China.
Hata hivyo kujengwa kwa jengo hilo litasaidia kuondoshea kero abiria wanaosafiri na wananchi mbali mbali wanakwenda kuwapokea wageni wao au kuwasindikiza katika uwanja huo.
Palikuwa pakitambulika kama Murambi technical school kablamauji ya Rwanda (Rwanda genocide)1994.Lakini sasa panaitwa Murambi memorial centre kwani ndio eneo ambalo mauaji makubwayalitokea.Tarehe 16 mwezi wa 4 mwaka 1994 watu wengi (tutsi)wanaokadiriwa kufikia 65,00 walikimbiliaeneo hilo la shule kujificha na waliweza kujitetea kwa mawelakini tarehe 21 wakazidiwa ambapo watu 45,ooo waliuwawa.Wengine walifanikiwa kukimbia ambapo walikimbilia kanisanilakini baada ya siku mbili nao waliuwawa baada ya mapadri kuwaita wauaji.
Kwa sasa Murambi pamebaki kama memorial centre,watu
hutembelea na kuona mabaki ya miili ya watu ambao walikufa
katika mauaji hayo.
Huyu alitambuliwa kwa kukutwa kitambulisho katika nguo zake
alikuwa akiitwa Patrick.
alikuwa akiitwa Patrick.
Mabaki ya mifupa ya watu
Hili ndio lile kanisa ambalo watu walikimbilia kujificha
wakijua ni
sehemu salama na mapadri wakawakaribisha wakidhani
wameokoka.
Dakika chache viongozi wa kanisa wakawaita wauaji
kilichofuata ni
mapanga.Kanisa lilikuwa linafahamika kwa jina la Chibeho.
wakijua ni
sehemu salama na mapadri wakawakaribisha wakidhani
wameokoka.
Dakika chache viongozi wa kanisa wakawaita wauaji
kilichofuata ni
mapanga.Kanisa lilikuwa linafahamika kwa jina la Chibeho.
Kanisa hili pia limebaki kama sehemu a makumbusho
kwani miili
haikutolewa iliachwa hapo hapo ambapo mpaka sasa
ndio
panaonekana hivi kama unavyoona pichani.
Hii yote ni mabaki ya miili ya watu kanisani humo,
nje tu ya kanisa
hili kumezikwa watu zaidi ya elfu 23 lakini idadi
ya ndani ilikuwa
ngumu kuhesabiwa kwa kuwa walikatwa katwa sana.
Picha zaidi kutoka kanisani humo
kwani miili
haikutolewa iliachwa hapo hapo ambapo mpaka sasa
ndio
panaonekana hivi kama unavyoona pichani.
Hii yote ni mabaki ya miili ya watu kanisani humo,
nje tu ya kanisa
hili kumezikwa watu zaidi ya elfu 23 lakini idadi
ya ndani ilikuwa
ngumu kuhesabiwa kwa kuwa walikatwa katwa sana.
Picha zaidi kutoka kanisani humo
Miili kwa sasa imekauka
Hapa ni tofauti na kanisani hii ni sehemu ya memorial
centre ya
Murambi na hiyo ni mifupa ya wau ambayo
imekusanywa na
kuifadhiwa humo.
Mafuvu kama yanavyoonekana.
Hapa ni tofauti na kanisani hii ni sehemu ya memorial
centre ya
Murambi na hiyo ni mifupa ya wau ambayo
imekusanywa na
kuifadhiwa humo.
Jeneza hili ambalo linaonekana pichani likiwa pekee ni la
mwanamke ambae aliuwawa kikatili kwa kupasuliwa tumbo
kisha akachomwa mti sehemu za siri ukatokea kichwani na
ilikuwa karibu na pasaka.
mwanamke ambae aliuwawa kikatili kwa kupasuliwa tumbo
kisha akachomwa mti sehemu za siri ukatokea kichwani na
ilikuwa karibu na pasaka.
Hizi ni baadhi ya picha zinazopatikana hapo lakini kuna vitu
humo ndani ambavyo huwezi kuruhusiwa kuchukua picha kwa
kuwa vinatisha zaidi ya hizi picha tulizozipata.
humo ndani ambavyo huwezi kuruhusiwa kuchukua picha kwa
kuwa vinatisha zaidi ya hizi picha tulizozipata.
Kwa sasa Rwanda ni salama nhini ya raisi wao Paul Kagame.
Asante kwa Anod Kayanda kwa kutupa picha hizi na pole kwa
yule ambae zitakuwa zimemkwaza.
yule ambae zitakuwa zimemkwaza.
source dina marios blog.