KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa
hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
kiwanja cha Kisonge, Michezani.
hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
kiwanja cha Kisonge, Michezani.
BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya
Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha.
Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha.
WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria
sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo duniani
katika viwanja vya Kisonge Michezani
sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo duniani
katika viwanja vya Kisonge Michezani
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeanza ujenzi wa ukuta utaozunguka Uwanja wa Kimataifa Abeid Amani Karume wenye urefu wa kilomita 12.
Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Idara ya Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema ujenzi huo unafanyika chini ya Kampuni ya Sagea Satom ya Ufaransa, ambayo ndio iliyohusika katika upanuzi wa Njia ya kurukia ndege na kutulia hivi karibuni, ambapo tayari kazi hiyo imekamilika na kuruhusu ndege kubwa kutua nchini.
Alisema ujenzi wa ukuta utahusisha kilomita 10 utakuwa kwa kiwango cha zega na kilomita mbili utawekwa waya (senyenge) ili kuruhusu kuonekana vizuri kwa kiwanja hicho.
Alifahamisha kuwa, ujenzi huo unafadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ambapo hadi kukamilika kwake utagharimu shilingi bilioni tano na kazi ya ujenzi wa zege imeshaanza na kufikia kilomita tatu katika maeneo ya Mombasa na Kisauni.
Aidha alisema maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa ya upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutulia, Zanzibar imepata sifa kubwa kutoka kwa kampuni mbali mbali zinazotoa usafiri ndani na nje ya nchi.
Malik alieleza upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutilia imefikia kwa urefu kilomita 3022 kutoka kilomita 2462 za zamani na kufikia upana wa mita 45 kwa sasa, jambo ambalo limeongeza uwanja huo kuwa na hadhi ya kimataifa.
Hata hivyo, alisema sambamba na upanuzi huo lakini barabara yake (njia ya kurukia ndege na kutulia), iko imara zaidi katika viwango vya kimataifa hadi kufikia PCN 61, ambayo inauwezo wa kuhimili vishindo vya ndege za aina mbali mbali.
Mkurugenzi huyo, alisema hivi sasa kuna maombi ya kampuni tatu za mashirika ya ndege, ambazo zimepeleka maombi ya kuja kuangalia uwanja huo ili kuweza kuleta ndege zao Zanzibar, ambapo miongoni mwa kampuni hizo ni Shirika la Oman Air na Kampuni ya Emirates.
JENGO la kisasa la abiria katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, utaanza Januari mwakani ambao utagharimu dola za Marekani milioni 70.4 hadi kukamilika kwake.
Mkurugenzi wa Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili, mjini hapa amesema ujenzi huo utaanza mapema mwezi ujao na utachukuwa miaka mitatu hadi kukamilika kwake, ambao utagharimu Dola za Marekani milioni 70.4.
Alisema jengo hilo litajengwa na kampuni ya Beijing Enginering Construction Group (BECG) ya China ambayo imeshinda zabuni ya ujenzi huo.
Alieleza hatua za awali za matayarisho zimeshafanyika za kupima udongo na hivi sasa kazi inayoendelea ni kuingiza vifaa vya ujenzi nchini ili kazi hiyo iweze kuanza mwezi ujao.
Aidha alifahamisha kuwa, ujenzi huo pia utahusisha barabara katika eneo la jengo hilo sambamba na kuweka maeneo maalum ya maegesho ya vyombo vya moto, ili kuweka haiba nzuri ya muonekano wake.
Ujenzi wa jengo jipya la kisasa la abiria linajengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar baada ya kupata fedha za mkopo nafuu kutoka China.
Hata hivyo kujengwa kwa jengo hilo litasaidia kuondoshea kero abiria wanaosafiri na wananchi mbali mbali wanakwenda kuwapokea wageni wao au kuwasindikiza katika uwanja huo.
Palikuwa pakitambulika kama Murambi technical school kablamauji ya Rwanda (Rwanda genocide)1994.Lakini sasa panaitwa Murambi memorial centre kwani ndio eneo ambalo mauaji makubwayalitokea.Tarehe 16 mwezi wa 4 mwaka 1994 watu wengi (tutsi)wanaokadiriwa kufikia 65,00 walikimbiliaeneo hilo la shule kujificha na waliweza kujitetea kwa mawelakini tarehe 21 wakazidiwa ambapo watu 45,ooo waliuwawa.Wengine walifanikiwa kukimbia ambapo walikimbilia kanisanilakini baada ya siku mbili nao waliuwawa baada ya mapadri kuwaita wauaji.
Kwa sasa Murambi pamebaki kama memorial centre,watu
hutembelea na kuona mabaki ya miili ya watu ambao walikufa
katika mauaji hayo.
Huyu alitambuliwa kwa kukutwa kitambulisho katika nguo zake
alikuwa akiitwa Patrick.
alikuwa akiitwa Patrick.
Mabaki ya mifupa ya watu
Hili ndio lile kanisa ambalo watu walikimbilia kujificha
wakijua ni
sehemu salama na mapadri wakawakaribisha wakidhani
wameokoka.
Dakika chache viongozi wa kanisa wakawaita wauaji
kilichofuata ni
mapanga.Kanisa lilikuwa linafahamika kwa jina la Chibeho.
wakijua ni
sehemu salama na mapadri wakawakaribisha wakidhani
wameokoka.
Dakika chache viongozi wa kanisa wakawaita wauaji
kilichofuata ni
mapanga.Kanisa lilikuwa linafahamika kwa jina la Chibeho.
Kanisa hili pia limebaki kama sehemu a makumbusho
kwani miili
haikutolewa iliachwa hapo hapo ambapo mpaka sasa
ndio
panaonekana hivi kama unavyoona pichani.
Hii yote ni mabaki ya miili ya watu kanisani humo,
nje tu ya kanisa
hili kumezikwa watu zaidi ya elfu 23 lakini idadi
ya ndani ilikuwa
ngumu kuhesabiwa kwa kuwa walikatwa katwa sana.
Picha zaidi kutoka kanisani humo
kwani miili
haikutolewa iliachwa hapo hapo ambapo mpaka sasa
ndio
panaonekana hivi kama unavyoona pichani.
Hii yote ni mabaki ya miili ya watu kanisani humo,
nje tu ya kanisa
hili kumezikwa watu zaidi ya elfu 23 lakini idadi
ya ndani ilikuwa
ngumu kuhesabiwa kwa kuwa walikatwa katwa sana.
Picha zaidi kutoka kanisani humo
Miili kwa sasa imekauka
Hapa ni tofauti na kanisani hii ni sehemu ya memorial
centre ya
Murambi na hiyo ni mifupa ya wau ambayo
imekusanywa na
kuifadhiwa humo.
Mafuvu kama yanavyoonekana.
Hapa ni tofauti na kanisani hii ni sehemu ya memorial
centre ya
Murambi na hiyo ni mifupa ya wau ambayo
imekusanywa na
kuifadhiwa humo.
Jeneza hili ambalo linaonekana pichani likiwa pekee ni la
mwanamke ambae aliuwawa kikatili kwa kupasuliwa tumbo
kisha akachomwa mti sehemu za siri ukatokea kichwani na
ilikuwa karibu na pasaka.
mwanamke ambae aliuwawa kikatili kwa kupasuliwa tumbo
kisha akachomwa mti sehemu za siri ukatokea kichwani na
ilikuwa karibu na pasaka.
Hizi ni baadhi ya picha zinazopatikana hapo lakini kuna vitu
humo ndani ambavyo huwezi kuruhusiwa kuchukua picha kwa
kuwa vinatisha zaidi ya hizi picha tulizozipata.
humo ndani ambavyo huwezi kuruhusiwa kuchukua picha kwa
kuwa vinatisha zaidi ya hizi picha tulizozipata.
Kwa sasa Rwanda ni salama nhini ya raisi wao Paul Kagame.
Asante kwa Anod Kayanda kwa kutupa picha hizi na pole kwa
yule ambae zitakuwa zimemkwaza.
yule ambae zitakuwa zimemkwaza.
source dina marios blog.
First Lady Michelle Obama along with daughters Sasha and Malia Obama were spotted in front of the White House full of holiday cheer yesterday.
An after Thanksgiving Day tradition, Mrs. O and her daughters received the 18 1/2-foot Douglas fir that will become the Official White House Christmas Tree. The fir comes from a farm in Lehighton, Pa., belonging to Christopher Botek. This is the second time that a tree from the Botek family farm has become the Official White House Christmas Tree.
The tree was hauled through the White House gates by horse-drawn carriage and will go on display in the Blue Room.
|