Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

[ Read More ]

[ Read More ]

MAANDAMANO YA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM


KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa
 hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa
 Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za
kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika
 kiwanja cha Kisonge, Michezani.

BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya
 Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha. 
WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria
 sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo  duniani
 katika viwanja vya Kisonge Michezani  
[ Read More ]

UJENZI UKUTA WA UWANJA WA NDEGE WAANZA.


SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeanza ujenzi wa ukuta utaozunguka Uwanja wa Kimataifa Abeid Amani Karume wenye urefu wa kilomita 12.

Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Idara ya Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema ujenzi huo unafanyika chini ya Kampuni ya Sagea Satom ya Ufaransa, ambayo ndio iliyohusika katika upanuzi wa Njia ya kurukia ndege na kutulia hivi karibuni, ambapo tayari kazi hiyo imekamilika na kuruhusu ndege kubwa kutua nchini.

Alisema ujenzi wa ukuta utahusisha kilomita 10 utakuwa kwa kiwango cha zega na kilomita mbili utawekwa waya (senyenge) ili kuruhusu kuonekana vizuri kwa kiwanja hicho.

Alifahamisha kuwa, ujenzi huo unafadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ambapo hadi kukamilika kwake utagharimu shilingi bilioni tano na kazi ya ujenzi wa zege imeshaanza na kufikia kilomita tatu katika maeneo ya Mombasa na Kisauni.

Aidha alisema maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa ya upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutulia, Zanzibar imepata sifa kubwa kutoka kwa kampuni mbali mbali zinazotoa usafiri ndani na nje ya nchi.

Malik alieleza upanuzi wa njia ya kurukia ndege na kutilia imefikia kwa urefu kilomita 3022 kutoka kilomita 2462 za zamani na kufikia upana wa mita 45 kwa sasa, jambo ambalo limeongeza uwanja huo kuwa na hadhi ya kimataifa.

Hata hivyo, alisema sambamba na upanuzi huo lakini barabara yake (njia ya kurukia ndege na kutulia), iko imara zaidi katika viwango vya kimataifa hadi kufikia PCN 61, ambayo inauwezo wa kuhimili vishindo vya ndege za aina mbali mbali.

Mkurugenzi huyo, alisema hivi sasa kuna maombi ya kampuni tatu za mashirika ya ndege, ambazo zimepeleka maombi ya kuja kuangalia uwanja huo ili kuweza kuleta ndege zao Zanzibar, ambapo miongoni mwa kampuni hizo ni Shirika la Oman Air na Kampuni ya Emirates.
[ Read More ]

UJENZI WA JENGO LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE KUANZA JANUARI.


JENGO la kisasa la abiria katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, utaanza Januari mwakani ambao utagharimu dola za Marekani milioni 70.4 hadi kukamilika kwake.

Mkurugenzi wa Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili, mjini hapa amesema ujenzi huo utaanza mapema mwezi ujao na utachukuwa miaka mitatu hadi kukamilika kwake, ambao utagharimu Dola za Marekani milioni 70.4.

Alisema jengo hilo litajengwa na kampuni ya Beijing Enginering Construction Group (BECG) ya China ambayo imeshinda zabuni ya ujenzi huo.

Alieleza hatua za awali za matayarisho zimeshafanyika za kupima udongo na hivi sasa kazi inayoendelea ni kuingiza vifaa vya ujenzi nchini ili kazi hiyo iweze kuanza mwezi ujao.

Aidha alifahamisha kuwa, ujenzi huo pia utahusisha barabara katika eneo la jengo hilo sambamba na kuweka maeneo maalum ya maegesho ya vyombo vya moto, ili kuweka haiba nzuri ya muonekano wake.

Ujenzi wa jengo jipya la kisasa la abiria linajengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar baada ya kupata fedha za mkopo nafuu kutoka China.

Hata hivyo kujengwa kwa jengo hilo litasaidia kuondoshea kero abiria wanaosafiri na wananchi mbali mbali wanakwenda kuwapokea wageni wao au kuwasindikiza katika uwanja huo.
[ Read More ]

UNAPAFAHAMU MURAMBI(memorial centre) nchini RWANDA?


Palikuwa pakitambulika kama Murambi technical school kablamauji ya Rwanda (Rwanda genocide)1994.Lakini sasa panaitwa Murambi memorial centre kwani ndio eneo ambalo mauaji makubwayalitokea.Tarehe 16 mwezi wa 4 mwaka 1994 watu wengi (tutsi)wanaokadiriwa kufikia 65,00 walikimbiliaeneo hilo la shule kujificha na waliweza kujitetea kwa mawelakini tarehe 21 wakazidiwa ambapo watu 45,ooo waliuwawa.Wengine walifanikiwa kukimbia ambapo walikimbilia kanisanilakini baada ya siku mbili nao waliuwawa baada ya mapadri kuwaita wauaji.


Kwa sasa Murambi pamebaki kama memorial centre,watu
hutembelea na kuona mabaki ya miili ya watu ambao walikufa
katika mauaji hayo.





Huyu alitambuliwa kwa kukutwa kitambulisho katika nguo zake 
alikuwa akiitwa Patrick.


Mabaki ya mifupa ya watu 


Hili ndio lile kanisa ambalo watu walikimbilia kujificha 
wakijua ni 
sehemu salama na mapadri wakawakaribisha wakidhani
 wameokoka.
Dakika chache viongozi wa kanisa wakawaita wauaji
 kilichofuata ni 
mapanga.Kanisa lilikuwa linafahamika kwa jina la Chibeho.


Kanisa hili pia limebaki kama sehemu a makumbusho 
kwani miili
 haikutolewa iliachwa hapo hapo ambapo mpaka sasa
 ndio 
panaonekana hivi kama unavyoona pichani. 



Hii yote ni mabaki ya miili ya watu kanisani humo,
nje tu ya kanisa
 hili kumezikwa watu zaidi ya elfu 23 lakini idadi 
ya ndani ilikuwa 
ngumu kuhesabiwa kwa kuwa walikatwa katwa sana. 

Picha zaidi kutoka kanisani humo

Miili kwa sasa imekauka

Hapa ni tofauti na kanisani hii ni sehemu ya memorial
 centre ya 
Murambi na hiyo ni mifupa ya wau ambayo
 imekusanywa na 
kuifadhiwa humo.


Mafuvu kama yanavyoonekana.
Jeneza hili ambalo linaonekana pichani likiwa pekee ni la
 mwanamke ambae aliuwawa kikatili kwa kupasuliwa tumbo
 kisha akachomwa mti sehemu za siri ukatokea kichwani na
 ilikuwa karibu na pasaka.
Hizi ni baadhi ya picha zinazopatikana hapo lakini kuna vitu 
humo ndani ambavyo huwezi kuruhusiwa kuchukua picha kwa 
kuwa vinatisha zaidi ya hizi picha tulizozipata.
Kwa sasa Rwanda ni salama nhini ya raisi wao Paul Kagame.


Asante kwa Anod Kayanda kwa kutupa picha hizi na pole kwa 
yule ambae zitakuwa zimemkwaza.

source dina marios blog.
[ Read More ]

GOOD MORNING, HAVE A NICE DAY.




[ Read More ]

The Obama's Receive The Official White House Christmas Tree.

The Obamas received the Official White House Christmas Tree yesterday.


First Lady Michelle Obama along with daughters Sasha and Malia Obama were spotted in front of the White House full of holiday cheer yesterday.


An after Thanksgiving Day tradition, Mrs. O and her daughters received the 18 1/2-foot Douglas fir that will become the Official White House Christmas Tree. The fir comes from a farm in Lehighton, Pa., belonging to Christopher Botek. This is the second time that a tree from the Botek family farm has become the Official White House Christmas Tree.


The tree was hauled through the White House gates by horse-drawn carriage and will go on display in the Blue Room.
[ Read More ]

CONFIDENTIAL





If you want to travel fast,
 travel alone.
If you want to travel far, travel together 

Surely I do not want to loose you in 2011.   
 

There comes a point in your
 life when you realize:   
Who matter 
Who never did,
Who won't anymore...
And who always will.
So, don't worry about people from your past,
there's a reason why they didn't make it to

 your future.
Give these flowers to everyone you don't

 want to lose in 2011  
including me, if that's what is in your heart.
Try to collect 6 it's not easy! 

SURE! I WANT TO BE WITH YOU IN 2011




[ Read More ]

cheka unenepe.

[ Read More ]