Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mwili Wa Imran Mtui Wawasili Dar Leo, Wasafirishwa Kuelekea Moshi Kwa Mazishi

-
Rehema Mwinyi.



Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Imran Mtui likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafiri kwenda Moshi.
Dada wa marehemu na waombolezaji wakilia kwa uchungu wakati jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafirisha mwili kwenda moshi Mjini kwa mazishi. 


Rais Mstaafu wa Chama cha Wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Bw. Baraka Kange akizungumza na waandishi wa habara mara wakati wakisubiri kupokea mwili wa Mwanafunzi aliyeuwa nchini India katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo. Kushoto kwake ni Babu wa marehemu, Balozi Abubakar Abrahim.

source:michuzi.

Leave a Reply