Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mafao ya mwalimu aliyefariki yakwamishwa hadi marehemu ajaze fomu.

MJANE Specioza Kamala ameendelea kusotea mafao ya mume wake aliyefariki miaka 13 iliyopita, huku mwaka huu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ikimwandikia marehemu barua ya kumtaka ajaze fomu ya kulipwa mapunjo ya mshahara baada ya kupanda daraja.Marehemu Richard Mutakulemberwa aliyekuwa mwalimu katika shule ya sekondari Kahororo iliyopo Manispaa ya Bukoba, alikutwa na mauti August,19 mwaka 1998

[ Read More ]

Aanguka na Kujifungua nje ya Wodi

MAMA mmoja anaetambulika kwa jina la Mwantatu Kombo mkaazi wa Miembeni ameelezea kusikitishwa kwake kwa kitendo alichofanyiwa na wauguzi wa hospitali ya Mnazimoja wodi ya wazazi wakati alipokwenda kumpeleka jamaa yake kwa ajili ya kujifungua.Akisimulia mkasa huo Mwantatu alisema kuwa tukio hilo lilitokea wiki iliyopita majira ya saa 9 usiku, ambapo alifika hospitalini hapo kwa lengo la kumpeleka jamaa

[ Read More ]

Kashfa ya Kuvuja Mitihani - Mtihani Mwengine

MAMIA ya vijana wa Zanzibar waliofanya mtihani wa kidato cha nne wanakabiliwa na mtihani mwingine, tena ni mkubwa zaidi kuliko ule walioufanya mwaka jana na hawajui waukabili vipi huu mtihani mpya.Matokeo yao ya mtihani wa kidato cha nne yamefutwa na kuambiwa juhudi zao zote za kujitayarisha kwa miezi kadha zimekwenda na maji, yaani “Ajwar” (pata potea).Hivi sasa watoto hawa, wengi wao wakiwa wanatokana

[ Read More ]

Kongamano la Kutathmini Matokeo ya Elimu, Mwanafunzi Awaliza Wazazi

  Aziza Mohammed mwanafunzi aliyeathirika kufutiwa matokeo yake ya mtihani wa kidatu cha nne aliacha simanzi kubwa ukumbini baada ya kueleza masikitoko yake ya kufutiwa mitihani na kuelezea jeshi la polisi lilivyowanyanyasa wakati wlaipopanga kuandamana kupinga matokeo hayo ambapo licha ya kupata kibali cha maandamano lakini jeshi la polisi liliingilia kati na kuwatawanya kwa kuwarushia mabomu

[ Read More ]

whitney houston - I will always love you

[ Read More ]

WHITNEY HOUSTON FUNERAL EARLY TODAY

 Dressed in black: Two women pause to look at the memorial display before they go into the church to pay their last respects to Whitney Houston Escort: A procession of cars with flowers - one of which is the golden hearse carrying her casket - drive down the Newark street after the service escorted by a police car The golden hearse carrying the body of singer Whitney Houston bears

[ Read More ]

WHITNEY FUNERAL

They sang, they cried and they remembered Whitney Houston, the soulful singer who once wowed the congregation at New Hope Baptist Church in New Jersey, before she became a music icon, and a worldwide sensation. Some of the biggest names in the entertainment industry joined Houston’s friends and family for her funeral at the same church where she first made her name, to remember the life of the woman

[ Read More ]

Mjadala wa Wazi Matokeo ya Mtihani

Inshaallah Kesho Jumamosi asubuhi saa 2.30 katika ukumbi wa Beit Al Yamin Malindi kutakuwa na mjadala wa wazi wa wadau wote wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha nne. Mjadala huo utawashirikisha walimu wa skuli za serikali na binafsi, wazazi, wanafunzi na wadau wengine wa elimu karibuni katika mjadala huo ili kutoa maoni yenu katika mjadala huo. Kwa wale watakaopenda kufuatilia tutakuwa

[ Read More ]

R.I.P Whitney Houston.

  Whitney Houston, who found fame as one of pop’s biggest voices, has died. She was 48. Houston died Saturday afternoon, a representative for the singer told the Associated Press. Houston’s death comes on the eve of the Grammys and on the night of Clive Davis’ annual pre-Grammy gala, at which she performed last year and was expected to attend this year. No cause of death has been announced

[ Read More ]

HATIMAE JAY-Z & BEYONCE WAMEWEKA PICHA ZA MTOTO WAO (BLUE IVY) KWENYE MITANDAO YA KIJAMII

                                   Mtoto Blue Ivy                                

[ Read More ]

MANY CONGRATS.

Many  Congrats to  my Baby Sister Mariam Tawe  for great form 4 result ..beauty with purpose......Education is sexy.... i am so proud of you dear xoxo..

[ Read More ]

DALILI ZA KUWA NA STRESS

Kuna mambo mengi au hali flani inaweza kuwa inajitokeza kwako mara kwa mara na usijue ni nini, au ukapuuzia lakini baadae ikaja kukuletea madhara makubwa. Ukiona mtu au kuhisi dalili zifuatazo, ujue ndio mwanzo wa stressKimbia ukapate msaada kabla mambo hayajaharibika 1. Kutojiamini 2. Kujawa na mawazo mengi kichwani (Msongo wa mawazo)3. Kuwazia mabaya wakati wote4. Kuongea

[ Read More ]