Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Ndege ya shirika la ndege la Tanzania (ATC) yaanguka .

-
Rehema Mwinyi.




Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATC) imeanguka katika uwanja wa ndege wa Kigoma ikiwa katika matayarisho ya kupaa.Habari  zinasema kwamba abiria wote pamoja na wafanyakazi wa ndege hiyo wamenusurika.

Leave a Reply