Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

TANZANIA WALK OF FAME.

-
Rehema Mwinyi.

 

 
Hayati Steve Kanumba ni miongoni mwa wasanii maarufu wa Tanzania wenye nyota za umaarufu (Tanzania Walk of Fame) ndani ya ukumbi wa Dar Live jijini Dar Es salaam ambapo mara baada ya kifo chake wafanyakazi wa ukumbi huo na mashabiki wake wameweka mashada ya maua,kadi na kuwasha mishumaa kama ishara ya kuomboleza kifo chake. 
...baadhi ya staff wa Dar Live wakiwasha mshumaa kwenye nyota ya Kanumba
...Nyota ya Kanumba ilivyo ndani ya Dar Live katika sehemu ya Tanzania Walk of Fame.
 
picha na abdallah mrisho.

Leave a Reply