
Jeneza la bibi likielekea msikiti kwa ajili ya kusaliwa Mtangazaji Hassan Bond, Fid Q, Diamond Platnumz na Ruge Mutahaba wakiwa msibani nyumbani kwamarehemu bi Kidude, Zanzibar Msanii Fid Q, Baraka cousin ya Marehemu Bi Kidude na Hassan Bond Mussa (FID Q ndo alikuwa msanii wa kwanza mkubwa kufika msibani kwa bibi) Ruge mutahaba, Babu Tale and Guru. .......msibani kwa Bi Kidude Guru