Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein(kulia) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) wakibadilishana mawazo jana wakati sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar uwanja wa Amaan Stadium mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein(kulia) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) wakiwa wamesimama kupokea maandamano ya wawakilishi wa wananchi kutoka mikoa mbalimbali za Zanzibar kwa ajili ya kusherekea ya miaka 47 ya Mapinduzi
Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba wakato wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Makamba-Katibu wa CCM Yusuph Makamba (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba(kulia)jana mjini Zanzibar wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanznibar
Waziri wakuu wastaafu Dkt Salim Ahmed Salim (kushoto) na Fredrick Sumaye (katikati) wakibadilishana mawazo na Waziri Kiongozi Mstaafu Vuai Nahodha jana wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa ameshikilia mfano wa funguo baada ya kukabidhiwa na Meja Jenerali Qian Lihua kutoka nchini China ikiwa ni ishara ya kumkabidhi chuo hicho.
Waziri wa Ulinzi na JKT Dk. Hussein Mwinyi akikagua darasa la Computer la Chuo Kikuu cha Kitaifa cha kijeshi
Waziri wa Ulinzi na JKT Dk. Hussein Mwinyi akikagua darasa la Computer la Chuo Kikuu cha Kitaifa cha kijeshi
Waziri wa Ulinzi na JKT Dk. Hussein Mwinyi na Meja Jenerali Qian Lihua kutoka nchini China wakikata utepe wakati wa makabidhiano ya Chuo Kikuu cha Kitaifa cha kijeshi (NDC) kilichojengwa Kunduchi Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wananchi wa Konde wilaya ya Micheweni Pemba,alipozindua kituo cha Afya na Nyukba ya Dakatari,katika shamra shamra za miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Afya na Nyumba ya Dakatari, Konde Wilaya ya Micheweni Pemba,katika shamara shamra za miaka 47 ya Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na mkuu wa kituo cha afya Konde,baada ya kuzindua Kituo hicho, sambamba na Nyumba ya Daktari, ,katika shamra shamra za miaka 47 ya Mapinduzi
Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB,Prajesh akitoa hutuba yake kwa kuwashukuru wananchi wa Konde na Wizara ya Afya kwa kushirikiana pamoja kujenga kituo hicho cha afya na nyumba ya Dakatari,wakati hafla ya uzinduzi wa kituo hicho jana.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Kituo cha Afya Konde
Waziri wa Afya Mhe Juma Duni akitoa maelezo mafupi ya kituo cha Afya Konde
Wanafunzi nao pia walikuwepo katika uzinduzi wa kituo cha Afya cha Konde
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk Jidawi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein akitoa salamu pamoja na nasaha zake baada ya kukizindua kituo cha Afya Konde leo
Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu
There’s a silly rumor exploding on the Internet this weekend, alleging that Facebook is shutting down on March 15 because CEO Mark Zuckerberg “wants his old life back,” and desires to “put an end to all the madness.”
[UPDATE]
We have official confirmation from Facebook Director of Corporate Communications Larry Yu that the rumor is false. We asked him via e-mail if Facebook was shutting down on March 15, to which he responded, “The answer is no, so please help us put an end to this silliness.” He added, “We didn’t get the memo about shutting down and there’s lots to do, so we’ll just keep cranking away like always.”
Let’s think about this for a minute. Would Facebook decide to shut down the company just a few days afterannouncing a round of funding, consisting of $450 million from Goldman Sachs and $50 million from Russian investment firm Digital Sky Technologies, on a valuation of $50 billion?
The spurious report was started by a site to which we refuse to link, known for its reports of impending attacks of alien spaceships and false reports of a Michelle Obama pregnancy.
The fact that this absurd hoax spread so efficiently makes us wonder: Will people believe anything?
ahsante endelea kutembelea blog hii..
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Google Buzz
PALO ALTO, CA –Mark Zuckerberg announced that Facebook will be shut down in March.
Managing the site has become too stressful.
Facebook has gotten out of control,” said Zuckerberg in a press conference
outside his Palo Alto office, “and the stress of managing this company has
ruined my life. I need to put an end to all the madness.”
Zuckerberg went on to explain that starting March 15th, users will no
longer be able to access their Facebook accounts.
“After March 15th the whole website shuts down,” said Avrat Humarthi,
Vice President of Technical Affairs at Facebook. “So if you ever want to see
your pictures again, I recommend you take them off the internet. You won’t be
able to get them back once Facebook goes out of business.”
Zuckerberg said that the decision to shut down Facebook was difficult,
but that he does not think people will be upset.
“I personally don’t think it’s a big deal,” he said in a private phone interview.
“And to be honest, I think it’s for the better. Without Facebook, people will
have to go outside and make real friends. That’s always a good thing.”
Some Facebook users were furious upon hearing the shocking news.
“What am I going to do without Facebook?” said Denise Bradshaw,
a high school student from Indiana. “My life revolves around it.
I’m on Facebook at least 10 hours a day. Now what am I going to do
with all that free time?”
However, parents across the country have been experiencing a long
anticipated sense of relief.
“I’m glad the Facebook nightmare is over,” said Jon Guttari,
a single parent from Detroit. “Now my teenager’s face won’t be glued to a
computer screen all day. Maybe I can even have a conversation with her.”
Those in the financial circuit are criticizing Zuckerberg for walking away
from a multibillion dollar franchise. Facebook is currently ranked as one of the
wealthiest businesses in the world, with economists estimating its value
at around 7.9 billion.
But Zuckerberg remains unruffled by these accusations. He says he will
stand by his decision to give Facebook the axe.
“I don’t care about the money,” said Zuckerberg. “I just want my old life back.”
The Facebook Corporation suggests that users remove all of their personal
information from the website before March 15th. After that date, all photos,
notes, links, and videos will be permanently erased.