How can you be on the top of the world while ur family member is selling her body for $250 per hr? Damn i was so shocked when i ready this on Bossip...so sad and on top of that she is HIV positive and a mother of four kids. She claims that! she did reach out to her family but they ignore her.

Habari kutoka Kinshasa zinaeleza kuwa watu saba wameuawa baada ya kufanya jaribio la kumpindua Rais Joseph Kabila katika makazi yake.
Watu hao waliuawa na walinzi wa Rais Kabila, kwa mujibu wa maelezo ya msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo.
Mwandishi wetu Lubunga Bya'Ombe akiwa Kinshasa amethibitisha kumetokea taarifa hizo. Hata hivyo watu waliohusika bado hawajajulikana.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri zitakavyokuwa zikipatikana.