Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

[ Read More ]

Be always at war with your vices, at peace with your neighbors,  and let each new year find you a better man.Like birds, let us, leave behind what we don’t need to carry, GRUDGES SADNESS PAIN FEAR and REGRETS. Life is beautiful, Enjoy it.HAPPY NEW YEAR

[ Read More ]

INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.

ON BEHALF OF MA FELLOW LAUREATE STUDENTS IN ZANZIBAR WE ARE SADLY  TO BE WITHOUT YOU IN OUR LIFE, U WERE A GREAT TEACHER OF ART AND CRAFT  SINCE WE WERE GRADE 5 WHEN U TAUGHT US TO DRAW WAT WE SEE AND NOT WAT WE KNOW . YOU WILL ALWAYS BE CHERISHED IN OUR MEMORY. MAY GOD REST YOUR SOUL IN PEACE MR IDD FARHAN. ..........AMEEN

[ Read More ]

JK Amwapisha Jaji Mkuu Mpya Leo

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo amemwapisha Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Pichani Jaji Mohamed Chande Othman akila kiapo mbele ya Rais huku Jaji Mkuu mstaafu Augostino Ramadhani(kulia) akishuhudia.Katikati ni Kaibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo(Picha: Freddy Ma

[ Read More ]

MAJAJI WAAPISHWA NA RAIS

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Mkusa Isaac Sepetu, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Fatma Hamid Mahamoud, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika

[ Read More ]

I do my thing and you do yours.  I am not in this world to live up to your expectations, and you are not in this world to live up to mine. You are you and I am I, and if by chance we find each other, then it is beautiful. If not, it can't be help

[ Read More ]

breaking news

Mwanamuziki mkongwe nchini, Dk. Remmy Ongala amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo.Habari za awali zilizofikia mtandao huu zinasema Dk. Remmy alikata roho akiwa nyumbani kwake usiku saa nane na robo kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.Mwili wa marehemu umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mipango ya mazishi bado haijajulika

[ Read More ]

MSANII Mkongwe Marehemu Bakari Abeid, hatunae tena baada ya kufariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake Mbuyu Mnene Kiembesamaki na kuzikwa leo katika makaburi ya mwanakwerekwe na kuhudhuriwa na Wananchi mbalimbali na Wasanii.Mungu ailaze paha pema peponi Amin. &nb

[ Read More ]

WENGI WAMZIKA, WAELEZA WALIVYOGUSWA.

MAMIA ya wananchi wa Zanzibar na vitongoji vyake wakiwemo wasanii wakongwe na chipukizi, walijitokeza katika mazishi ya marehemu Bakari Abeid Ali aliyefariki dunia jana. Mazishi hayo yalihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti

[ Read More ]

Ajab Si

Aankhon Mein Teri Ajab Si Ajab Si Adayein Hai Hoo Aankhon Mein Teri Ajab Si Ajab Si Adayein Hai Dil Ko Banade Jo Patang Saa Se Yeh Teri Woh Haawaien Hai ]2 Aai Aise Raat Hai Jo Bhahut Khushnaseeb Hai Chahe Jise Door Se Duniya Woh Mere Kareeb Hai Kitna Kuch Kehna Hai Phir Bhi Hai Dil Mein Saawal Hai Kahin Sapno Mein Jo Roj Kaha Hai Woh Phir Se Kahun Ya Nahi Aankhon Mein Teri Ajab Si Ajab Si

[ Read More ]

OLD IS GOLD {Deewana}

--FEMALE-- Aisi deewangi --MALE-- Hm hmm hm hmm, hm hmm hm hmm --FEMALE-- Dekhi nahin kahin --MALE-- Hm hmm hm hmm, hm hmm hm hmm --FEMALE-- Maine iss liye Aisi deewangi dekhi nahin kahin Maine iss liye, jaane jaana, deewana Tera naam rakh diya, tera naam rakh diya Haan, naam rakh diya, tera naam rakh diya --MALE-- Mera naseeb hai jo mere yaar ne Haske pyaar se, bekhudi mein deewana Mera

[ Read More ]

Rais Jakaya kikwete atunukiwa Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii Leo Jijini Dar es Salaam

Baadhi ya wahitimu wa digrii ya Udaktari wa Afya ya Meno(Doctor of Dental Surgery)  wakila kiapo cha uaminifu na utii wa miiko ya udaktari wakati wa Mahafali ya nne ya Chuo  Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo mchanaRais Jakaya Kikwete akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii ya  Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi

[ Read More ]

Diamond na Shavu la Wanamuziki wa Ukweli Lagos Nigeria

 Mwanamuziki Machachari kutoka Nchini Tanzania Diamond(Kulia)akiwa katika picha ya Pamoja na  Mwanamuziki Maharufu Fally IpupaMwanamuziki Machachari kutoka Nchini Tanzania Diamond(kushoto)akiwa katika pozi la nguvu na  shoka na Mwanamuziki Mashuhuri kutoka Nchini Marekani Eve nchini Lagos Nigeria.mwanamuziki Diamond yupo nchini Nigeria kushiriki kwenye Tunzo za Muziki za MTV MAMA.Mwanamuziki

[ Read More ]

MORNING FOG IN MYSORE

                                                                             8

[ Read More ]

[ Read More ]

Kitabu cha Wasifu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Chazinduliwa Jijini Dar es Salaam

  Nakala ya kiingereza ya Kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kama  kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala  za  kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye  hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu  Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya  shillingi

[ Read More ]