Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

SIMU ZA VIGANJANI ZANYE TELEVISHENI KUATHIRIWA NA UZIMAJI WA MITAMBO YA ANALOJIA LEO

BAADHI ya watumiaji wa simu za viganjani zenye televisheni ni miongoni mwa watu watakaoathirika na uzimaji wa mitambo ya utangazaji wa televisheni ya mfumo wa analojia. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasialiano nchini  (TCRA), akitoa taarifa kuhusu uzimaji wa mitambo hiyo ya analoji kwenda dijitali, kwa mkoa wa Dar es Salaam,

[ Read More ]

Rest in Peace.

She was a student, 23 years old, Her fault some people say because she boarded the wrong bus, And oh yeah SHE WAS A GIRL, Six men raped her one by one and then used an iron rod to tear her vagina-Small intestine and large intestine came out They left her to die on the road Naked! Wounded! Exposed! Devastated What’s

[ Read More ]

Mwili wa mhanga wa ubakaji wachomwa

Mhanga wa ubakaji na mauaji yaliyozusha maombolezo makali pamoja na hasira nchini India amefanyiwa taratibu za mazishi kwa kaida za Kihindi, kwa kuchomwa tukio lililofanyika kwa faragha leo Jumapili30.12.2012). Tukio hilo lilifanyika saa kadhaa baada ya mwili wa marehemu kurejeshwa nchini humo kutoka Singapore. Mwanamke huyo ambaye hakutajwa jina lake mwenye umri wa miaka 23, ambaye alisababisha

[ Read More ]

Muhanga wa ubakaji India afariki dunia

Mwili wa mwanamke wa India ambaye amefariki hospitalini nchini Singapore baada ya kubakwa kinyama mjini New Delhi ulitarajiwa kurejeshwa nyumbani siku ya Jumamosi (29 Disemba). Balozi  wa India  nchini  Singapore, T. C. A Raghavan  amewaambia waandishi  habari kwamba mwanamke huyo alifariki kutokana na viungo vyake kushindwa kufanya kazi akiwa anapatiwa matibabu.&nbs

[ Read More ]

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Mstaafu wa Hesabu za Serikali afariki Dunia

Vingozi mbali mbali wa serikali waliohudhuria katika sala ya kumsalia maiti Waumini wa dini ya kiislamu  wakiwa kwenye hatuwa ya mwishi ya kumsindikiza ndugu yao katika makaburi ya kisutu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Mstaafu wa Hesabu za Serikali wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa  Tanzania Bwana Mohd Aboud Mohd aliyefariki Dunia Nchini India  amezikwa katika makaburi ya Wangazija

[ Read More ]

Tume ya Uchaguzi yakabidhi ripoti ya miaka mitano ya tume kwa Rais

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,(ZEC) Khatib Mwinyichande,akiongoza ujumbe wa Tume hiyo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza muda wa kazi wa Tume hiyo jana Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti

[ Read More ]

MAKACHERO KUTOKA DAR WATUA ZANZIBAR KUCHUNGUZA SHAMBULIO LA PAROKO

Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi Zanzibar Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar es Salaam, imetuma timu ya Makachero kuja Zanzibar kuungana na wenzao wengine wa Polisi Zanzibar katika Upelelezi wa tukio la kushambuliwa kwa Paroko wa Parokia ya Mpendae Amrose Nkenda. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Zanzibar ACP Yusuf Ilembo, amesema kuwa timu hiyo ambayo inaongozwa na Afisa

[ Read More ]

Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar SUZA chamtunukia Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman Cheti cha Shukurani

Bwana Hassan Simba Hassan SUZA Public Relation Officer. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -Taaluma Dr. Haji Mwevura akimkabidhi WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Muheshimiwa Haroun Ali Suleiman  cheti maalumu cha shukurani kwa mchango wake mkubwa alioutoa wakati alipokua waziri wa elimu . WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

[ Read More ]

MAKAMU WA RAIS DKT GHARIB BILAL AFUNGUA RASMI KITUO CHA POLISI CHA KIBOJE ZANZIBAR JANA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Kamishina wa Polisi wa Zanzibar, Mussa Ali Mussa, wakifunua kwa pamoja kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Kituo cha Polisi cha Kiboje, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho ulioanza Februari 14, 2012 na kuzinduliwa jana Desemba 26, wakati wa hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika Kiboje

[ Read More ]

Letters to my Children by Benn Haidari

When Benn Haidari was separated from his children by domestic turbulence and physical distance, he refused to become just another absent father. With only the simplest medium and purest will, he set out to maintain contact the only way he knew how: a series of letters to his children. In them, he carefully identifies the lessons he thinks they ought to learn about life and, through these ideas,

[ Read More ]

Father Ambros Mkenda wa Kanisa la Katoliki la Mpendae amepigwa risasi

Father Ambros Mkenda wa Kanisa la Katoliki la Mpendae amepigwa risasi na watu wasiojulikana nje ya nyumba yake majira ya saa 12 jioni jana wakati akitokea kanisani. Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Azizi Juma amethibisha kutokea kwa tukio hilo na amesema hakuna mtu anayeshikiliwa kuhusika na tukio hilo lakini uchunguzi unaendelea. Father Mkenda hivi sasa anapatiwa matibabu

[ Read More ]

Oman kuendeleza mashirikiano na Zanzibar

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar Sheikh Mansoor Al-Busaid baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwake Migombani.  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar Sheikh Mansoor Al-Busaid ofisini kwake Migombani.   Makamu

[ Read More ]

Nafasi ya Masomo/kusomesha Marekani

Opportunity in Swahili at The University of Mississippi The Department of Modern Languages has funding to support someone to do a 2-year master's degree in Modern Languages with a specialization in Teaching English as a Second Language (TESL), Spanish, French or German while teaching two basic Swahili courses each semester for two years. We can offer a stipend of $5,250 per semester ($10,500

[ Read More ]