Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

300 dead in massive quake in Chile, search on for survivors.

SANTIAGO: Rescue teams hunted for survivors on Sunday after one of the largest earthquakes on record killed at least 300 people in Chile and sent giant waves roaring across the Pacific Ocean. In an address to the nation on Saturday, President Michelle Bachelet said two million Chileans had been affected but, after touring the worst-hit areas by plane, she found it hard to spell out the magnitude of

[ Read More ]

Joti wa ze comedy alazwa moi....

Msanii maarufu wa kundi la vichekesho la Orijino Komedi,Lukac Mhavile a.k.a Joti (pichani) anahofiwa kuvunjika shingo,baada ya kupata ajali alipokuwa akirekodi kipindi pamoja na wenzake eneo la daraja la Salender,jijini Dar. Joti aligongwa na lori aina ya Scania malai ya Ubalaozi wa Ubelgiji nchini,saa 5:30 jana asubuhi.Amelazwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa matibabu,akiwa amefungwa kifaa

[ Read More ]

PRESIDENT JK CONFERRED PHD IN INTERNATIONAL RELATION IN TURKEY!

President Jakaya Mrisho Kikwete prepares to deliver his acceptance speech shortly after he was conferred with Honorary Doctorate Degree in International Relations yesterday at Fatih University, in Instabul, Turkey Friday evening. Photo by Freddy Maro.The Rector of Fatih University in Instabul, Turkey, Professor Shariff Ali confer upon President Jakaya Mrisho Kikwete a honorary Doctorate Degree (Honoris

[ Read More ]

JK Ziarani Uturuki

Rais wa Uturuki Abdullah Gul na mkewe wakiwakaribisha ikulu ya jıjını Ankara JK Mama Salma leo asubuhi JK na mwenyeji wake Raıs wa Uturuki Abdukkah Gul wakıkagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya Rais Kıkwete kuwasili katika ikulu ya nchı hıyo iliyopo jijini Ankara leo asubuhi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo 18 Feb, 10 anaanza

[ Read More ]

Ajiua baada ya kumchinja mkewe kwa wivu

MKAZI wa Kitefu wilayani Arumeru mkoani hapa, George Lukas (27), anatuhumiwa kumuua mkewe kwa kumchinja na kisu na kisha kuacha ujumbe mzito, kabla naye kujiua kwa sumu kutokana na wivu wa mapenzi.Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Basilio Matei alisema tukio la kuuawa kwa mke huyo, Asumin Hussein (36), limetokea juzi saa 12 jioni katika Kitongoji cha Kitefu, Maroroni wilayani Arumeru.Akielezea chanzo

[ Read More ]

Mtoto aliyenusurika mauaji Musoma asimulia alivyookoka

MTOTO wa miaka minne aliyenusurika katika mauaji ya watu 17 wa familia tatu za ukoo mmoja katika eneo la Buhare, nje ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mare, ameeleza namna alivyojiokoa dhidi ya wauaji kwa kuingia uvunguni.Kituo cha Redio Clouds jana kilirusha sauti ya mtoto huyo (jina lake limehifadhiwa) akijieleza kwamba alifanikiwa kuingia uvunguni mwa kitanda mara baada ya wahalifu hao kuanza kuwakata

[ Read More ]

Aanguka toka ghorofa ya tisa

FUNDI ujenzi aliyefahamika kwa jina moja la Ally, amekufa baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya tisa wakasti akiwa katika shughuli za ujenzi katika ghorofa hiyo.Fundi huyo alikuwa katika ya nyumba ya Shubas Patel iliyokuwa na ghorofa 12 na alianguka wakati akiwa kazini.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile, amesema ajali hiyo ilitokea jana, saa 10 jioni, Mtaa wa Sewa na Zanaki Ilala jijini

[ Read More ]

Mstaafu JWTZ mbaroni kwa tuhuma za kumuua mkewe

ASKARI mstaafu wa Jeshi la la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Matiko Ng'eng'e (55) anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kisu.Ng'eng'e ambaye alikuwa sanjenti wa jeshi hilo anadaiwa kufanya hivyo saa 11:00 alfajiri ya jana nyumbani kwake Ukonga Mazizini, jijini Dar es Salaam.Habari ambazo Mwananchi imezipata na kuthibitishwa na Polisi zilisema mauaji hayo yalifuatia mgogoro wa shamba

[ Read More ]

GIZA ZANZIBAR LASABABISHA NDEGE YA NAHODHA KUKWAMA KUTUA

Ndege ya Serikali ikiwa imembeba Waziri Kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha, imeshindwa kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Zanzibar kutokana na giza baada ya jenereta ya kufua umeme wa dharura kuharibika. Waziri Kiongozi alikuwa akitokea mkoani Dodoma kuhudhuria kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM akiwa amefuatana na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Zanzibar, Shawana Buheit Hassan ambaye pia

[ Read More ]

NGUZA VIKING NA MWANAE PAPII WAFUNGWA MAISHA.WAWILI WAACHIWA HURU

HUKUMU IMETOLEWA! Papii Kocha na Baba yake, Babu Seya wameonekana na hatia hivyo wataendelea kukaa jela for the rest of your lives!! Wakati wawili hao wakiendelea kusota, watoto wake wawili Francis Nguza na Mbangu Nguza wameachiwa huru baada ya kuonekana hawakuwa na hatia.

[ Read More ]

Matokeo Ya Kidato Cha Nne.

Matokeo ya Kidato cha nne 2009 yamewekwa hadharani leo huku takwimu zikionesha kuwa kiwango cha ufaulu kwa kidato cha nne yameshuka na yale ya mtihani wa maarifa(QT) kiwango kikiongezeka kwa asilimia 3.9 ukilinganisha na mwaka 2008. Akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa, Dk Joyce Ndalichako (pichani) amepasha, mwaka 2009 ufauli kwa watahiniwa wa shule ni asilimia

[ Read More ]

Mamia Wamzika Imran Mtui Mjini Moshi

Jeneza lenye mwili wa hayati Imran kijana aliyeuawa India hivi karibuni likitoka msikitini kuelekea katika makaburi ya Njoro mjini Moshi jana. Marehemu Imran alizikwa bila kuwa na kichwa. Picha na mdau Dixon Busagaga wa Moshi. Mtanzania aliyeuawa India azikwa bila kichwa Na Charles Ndagulla naDixson Busagaga, Moshi VILIO, simanzi na majonzi jana vilitawala mazishi ya Mtanzania Imran Mtui (31) aliyeuawa

[ Read More ]

HABARI YA MSIBA..

Binti wa Marehemu Rashid Kawawa , Habiba Kawawa amefariki  jioni ya Leo siku chache kabla ya arobaini ya baba yake katika hospitali Ya Taifa ya Muhimbili majira ya saa kumi na Mbili Jioni….Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Habiba huko TegetaMungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi..Ami

[ Read More ]

Mwili Wa Imran Mtui Wawasili Dar Leo, Wasafirishwa Kuelekea Moshi Kwa Mazishi

Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Imran Mtui likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafiri kwenda Moshi. Dada wa marehemu na waombolezaji wakilia kwa uchungu wakati jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafirisha mwili kwenda moshi Mjini kwa mazishi.  Rais Mstaafu wa Chama cha Wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Bw. Baraka Kange akizungumza na waandishi wa habara mara wakati wakisubiri

[ Read More ]

MOTHER, DAUGHTER, SON COMMIT SUICIDE

  In a heart-rending incident, three members of a family committed suicide by consuming poison in Bogadi near here last night. The deceased have been identified as Mangalamma (48), wife of Shivanna, her son Bhyrava (28) and daughter Lakshmi (22), wife of Swamy. They allegedly ended their lives in their house behind Government School on Bogadi. Lakshmi is survived by two sons Preetham, 7,

[ Read More ]

Wanne wa familia moja wateketea kwa moto wa jenereta

WATU wanne wa familia moja wamekufa kwa moto baada ya jenereta lililokuwa limefungiwa katika moja ya chumba ndani ya nyumba hiyo kupasuka na kuwaka moto Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamka leo, huko maeneo ya Kibwenzini Zanzibar wakati watu hao wakiwa wamelala ndani humo. Ilidaiwa kuwa jenereta hilo liliripuka majira ya saa 11 za alfajiri na kuzua moto uliosababisha vifo hivyo. Ilidaiwa

[ Read More ]

RIPOTI RASMI YA KIFO CHA BWANA “IMRAN MTUI”

Mnamo siku ya jumapili ya tarehe 31/01/2010, majira ya 9:30 alasiri uongozi wa wanafunzi waishio Bangalore India (TASABA) tulipokea taarifa ya kusikitisha kutoka kwa ndugu wa karibu wa marehemu kuwa kaka yetu mpendwa IMRAN MTUI kuwa tena duniani. Mnamo majira ya saa tatu usiku mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Mh. Fidelis Msomekela aliwasiliana na ubalozi wa Tanzania New

[ Read More ]

SURA ZA HUZUNI NA MAJONZI - BANGALORE-INDIA.

Baadhi ya wanafunzi waliokusanyika katika msiba huo wakiwa na nyuso za huzuni.Sura za Huzuni na Majonzi kwa wanafunzi wa India waliopo Bangalore na Wenzao wa Mysore baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Muwakilishi wa Ubalozi Mr. Amon Mwamunenge juu ya maendeleo ya uchunguzi na taratibu za kusafirisha mwili wa Marehemu Imran Mtui kurudi nyumbani kwa ajili ya mapumziko ya ama

[ Read More ]

Mwanafunzi Mtanzania, Imran Mtui auawa India

Habari zilizopo katika blogu ya Watanzania waishio Bangalore (TASABA), pia katika mtandao wa Twitter zinathibitisha kuwa, mwanafunzi wa Kitanzania, Imran Mtui (31) aliyekuwa anasoma katika Chuo kishiriki Cha Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa hauna kichwa.Taarifa zinasema kuwa mwili huo ulikutwa kando kando ya reli katika eneo la Shivajinagar katika mji

[ Read More ]

TANGAZO..

TAARIFA KAMILI YA KAMATI YA KUFUATILIA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI CHINI RAIS WA TASABA NA MUWAKILISHI WA UBALOZI MR.AMON MWAMANENGE ITATOLEWA BAADAE USIKU HUU.TAARIFA ITAHUSISHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA POLISI,HOSPITALI NA KAMPUNI YA RELI KUHUSU KIFO CHA KAKA YETU IMRAN MTUI.TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHWA KWA TAARIFA KWANI TULIKUA HATUWEZI KUZUNGUMZA LOLOTE MPAKA TUPATE RIPOTI RASMI

[ Read More ]

TAARIFA YA MSIBA

INNA LILAHI WA INNA ILAIHI RAJI'UNA!.Tunasikitika kutanga kifo cha mpendwa wetu wanafunzi mwenzetu.Imran Mtui.kilichotokea huko Bangalore India kwa ajali. .Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi zinaendelea. fromcoast inatoa pole kwa Familia,ndugu, jamaa na marafiki wote.Mungu awape uvumilivu hasa katika kipindi hichi kigumu..habari zaidi zitawajia hapo baadaeSisi

[ Read More ]