Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

BLOG YA JAMII YATUWAKILISHA VYEMA UINGEREZA

                     Mkuu wa blog ya jamii a.k.a Ankal akituwakilisha vyema Uingereza PRESENTATION BY MUHIDIN ISSA MICHUZI AT DIASPORA 2 CONFERENCE BACKGROUND Since Jon Barger put online what is considered to be the first blog (known as weblog by then) in 1995, millions of blogs have been created. Today, it is estimated that over 100

[ Read More ]

AJALI....

Mtoto Mwanaidi Ibrahim (4) (kulia), ambaye wazazi wake wote wawili walifariki dunia katika ajali ya gari, Kibamba juzi, akiwa amebebwa na Mama yake mdogo, Sharifa Ally wakati wa maombolezo ya msiba wa wazazi wake hao, Kibamba, Dar es Salaam jana. Kushoto ni ndugu yake Salha Jaffar (3). Mtoto huyo kwa sasa amebaki yatima.Ajali ya gari iliyochukua nafasi juzi alfajiri eneo la Kibamba, Dar ndani yake

[ Read More ]

AJALI:LORI LA MAFUTA LAIANGUKIA HIACE.

mwili ukiwa umenasa kwenye gari hiloLeo majira ya saa kumi na nusu alfajiri, lori lenye namba za usajili T 189 ABP na tela lake lenye namba za usajili T 192 ABP lililokuwa limebeba mafuta kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea Kibaha Pwani, limepata ajali mbaya na kuliangukia basi dogo la abiria (Hiace) lenye namba za usajili T 615 AJW katika eneo la Kibamba CCM, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam,

[ Read More ]

Milango ya Zanzibar : Mji mkongwe.

gari linaloonekana ndio lilikuwa gari la Prez wa kwanza wa Zanzibar Marehemu A.Karume.Milango ya Zanzibar ilianza kutumika katika miaka ya 1870 na kupata umaarufu mkubwa hadi sasa.Milango hii ilibuniwa na kuchongwa kufuatana na tamaduni za kihindi na kiarabu.Katika miaka hiyo ya 18' jumla ya milango 806 ilitengenezwa. Hiki kilikuwa ni kipindi cha Sultan Bargash.Sifa kubwa ya milango hii ni mapambo

[ Read More ]

Maiti ya mtoto yakutwa juu ya kaburi!!!

MAITI ya mtoto mdogo wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka miwili hadi mitatu, imekutwa juu ya kaburi katika eneo la Buguruni Madenge, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile alisema maiti huyo ambaye hajatambuliwa, aliokotwa juzi saa 5 asubuhi.Alisema mwili wa mtoto huyo uliokotwa ukiwa hauna jeraha lolote, ingawa alikuwa anatokwa na povu mdomoni

[ Read More ]

Drunk millionaire 'lost' £130,000 car

A wealthy property tycoon lost his £130,000 Lamborghini Gallardo supercar after a night out because he was too drunk to remember where he had parked it.Glenn Knowles, 35, was accused of fraud when the car disappeared and has not been found since, even though it was fitted with a satellite tracking device.Mr Knowles appeared at Guildford Crown Court with the Lamborghini's co-owner, Richard Mant.Both

[ Read More ]

WANAFUNZI WA KITANZANIA NUSURA KUUWAWA KWA MOTO BANGALORE -INDIA

TANZANIA STUDENTS ASSOCIATION BANGALORE(TASABA)WANAFUNZI WA KITANZANIA NUSURAKUUWAWA KWA MOTO BANGALORE -INDIA-----------Tarehe 11/03/2010 majira ya saa 11:30 wanafunzi wawili ,Hamis Mbelwa Fintan mwenye na Olais Alexendra Siarra waliokuwa wanakaa No.1093/1.11th Cross,Swarnanagar,Robertsonpet,KGF-563 122. Walinusurika kuuwawa kwa moto baada ya fujo iliyofanywa na wahindi wakidai kuwachukia waAfrika.Wahindi

[ Read More ]

Meli ya m.v serengeti yawaka moto.

Meli ya MV Serengeti ilivyowaka jana ikiwa nangani.kwenye bandari ya zanzib

[ Read More ]

Sheikh Mkuu Wa Misri Dr Muhammad Sayyed Tantawyi Afariki Dunia

Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh I ssa Shaabani Simba (shoto) akiwa katika picha ya pamoja na Sheikh Mkuu wa Misri (Sheikhul-Azhar v-GRAND SHEIKH OF AL-AZHAR - Pr,) Dr Muhammad Sayyed Tantawyi katika Ofisi zake za Masheikhatul-Azhar zilizopo mji wa Darassa mwezi jana.Habari zinasema Dr. Tantawyi amefariki dunia huko Misri.Sheikh Mkuu wa Tanzania alikuwa nchini Misri kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 22 (The

[ Read More ]

MAALIM SEIF YU HAI NA ANAENDELEA VIZURI

Uvumi ulioenea nchini ya kwamba Maalim Seif emefariki dunia unaonekana hauna ukweli wowote baada ya kuthibitika kwamba Maalim anaendela vizuri katika Hospitali ya Hindu Mandal. Uvumi huo uliokua ukisambazwa leo hii kwa njia ya simu (SMS)unaeleza kua Maalim Seif amefariki dunia leo katika Hospitali ya Hindu Mandal ambapo alikua amelazwa tokea jana baada ya kuanguka jana Uwanja wa Ndege Jijini Dar-es-salaam

[ Read More ]

UMEME ZANZIBAR KUREJEA JUMANNE IJAYO

Huduma ya umeme visiwani Zanzibar inatarajiwa kurudi Jumanne ijayo baada ya kukamilika kazi za utengenezaji wa kituo cha kupokea umeme kilichopo Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO), Hassan Ali Mbarouk, aliwaambia waandishi wa habari waliotembelea katika kituo chenye kufanyiwa matengenezo cha Fumba kwamba ikiwa kazi ya kurejesha huduma hiyo itafanyika

[ Read More ]