Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Dk. Shein Alipozindua Baraza La Wawakilishi Zanzibar

-
Rehema Mwinyi.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali. Kushoto kwake ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, Makamo wa Pili wa Rais wa ZANZIBAR Balozi Seif Ali Iddi na kuume kwake ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mh. Hamid Mahmoud na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Seif Shariff Hamad. Hapo wapo nje ya ukumbi wa BARAZA LA WAWAKILISHI baada ya kulizindua leo. Picha na mdau Ramadhania Othman wa Ikulu Zanzibar
 

Leave a Reply