Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

kwa heri Beatha.

-
Rehema Mwinyi.


Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE), Beatha Mwarabu (picha ndogo) aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi mwenzake. Heshima za mwisho zilitolewa jana chuoni hapo Chang’ombe, Dar es Salaam.

Leave a Reply