
Namshukuru Mwenyezi mungu kwa kunijalia kuuona mwaka mpya wa kiislam na pia mwaka 2010..pia napenda kuwashkuru wale wote walionisupport kwa njia moja au nyengine ktk kuufanya mwaka 2009 kuwa so special...especial my belove mama. i love you mama.ila nawashkuru all hater kwa kunichukia na pia kunikatisha tamaa kuwa sitaweza kufanya kitu..kupitia chuki zao zimenifanya kuwa jasiri na kuwa na moyo wa